Kuelekea Nusu Fainali Mapinduzi Cup: A Be Che za Simba na Yanga

Kuelekea Nusu Fainali Mapinduzi Cup: A Be Che za Simba na Yanga

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
A BE CHE hizi ni za kombe la mwaka huu tu.. nazo ni kama ifuatavyo;

A:Timu iliyofanya vibaya katika michuano hii [Iliyoaibisha timu zinazoshiriki VPL]
1. Yanga
Imekua ya pili katika kundi lake huku Simba SC ikiongoza kundi lake.

BE:Timu iliyofungwa mechi nyingi [imekua punching bag]
1. Yanga
Imefungwa mechi 1.. huku Simba SC ikiwa haijapoteza mechi yoyote hadi sasa.

CHE:Timu iliyofungwa magoli mengi [yenye defence mbovu]
1. Yanga
Mpaka sasa kabugizwa magoli manne.. na hii ni katika mechi 3 tu alizocheza.. huku Simba SC ikifungwa goli moja tu.. tena kwa taabu sana katika mechi 4 alizocheza.

ANGALIZO: Ukiangalia pia trend ya Yanga ya 6-0, 2-0, 0-4, naona kinachofuata ni Simba SC anaenda kuivunja rekodi yake mwenyewe ile aliyowabugiza goli 6-0.
Ili kuepuka hii fedheha anayoenda kuipata Yanga, nawashauri jambo moja.. MSIINGIZE TIMU UWANJANI.. Mkikaidi shauri yenu.
 
A BE CHE hizi ni za kombe la mwaka huu tu.. nazo ni kama ifuatavyo;

A:Timu iliyofanya vibaya katika michuano hii [Iliyoaibisha timu zinazoshiriki VPL]
1. Yanga
Imekua ya pili katika kundi lake huku Simba SC ikiongoza kundi lake.

BE:Timu iliyofungwa mechi nyingi [imekua punching bag]
1. Yanga
Imefungwa mechi 1.. huku Simba SC ikiwa haijapoteza mechi yoyote hadi sasa.

CHE:Timu iliyofungwa magoli mengi [yenye defence mbovu]
1. Yanga
Mpaka sasa kabugizwa magoli manne.. na hii ni katika mechi 3 tu alizocheza.. huku Simba SC ikifungwa goli moja tu.. tena kwa taabu sana katika mechi 4 alizocheza.

ANGALIZO: Ukiangalia pia trend ya Yanga ya 6-0, 2-0, 0-4, naona kinachofuata ni Simba SC anaenda kuivunja rekodi yake mwenyewe ile aliyowabugiza goli 6-0.
Ili kuepuka hii fedheha anayoenda kuipata Yanga, nawashauri jambo moja.. MSIINGIZE TIMU UWANJANI.. Mkikaidi shauri yenu.
Sembo bwana...
Hizo ni A,Be,Che za mashindano mazima kama mada yako inavyoelezea au za Simba Vs Yanga in particular?
Kama ni za mashindano mazima mbona Yanga hai'fall kwenye case yeyote kati ya hizo 3 ulizozi'list hapo...Cyo team iliyofanya vibaya,kufungwa mara nyingi wala kufungwa magoli mengi, na kama nia yako ilikuwa ni kuchambua hizi team 2 kwnn basi umeacha case ya team iliyofunga magoli mengi,ungeiweka kwenye D (Dada) walau.
Nimeamini mahaba hufifisha uwezo wa mtu ku'analyze mambo,ktk hali ya kawaida ckutegemea Sembo kama utakuja na hoja ya ki'layman kama hii,hizi ni type ya hoja za kina Allistides cijui Astrida na Ngarna
Ni mtazamo tu Wandugu.
 
Sembo bwana...
Hizo ni A,Be,Che za mashindano mazima kama mada yako inavyoelezea au za Simba Vs Yanga in particular?
Kama ni za mashindano mazima mbona Yanga hai'fall kwenye case yeyote kati ya hizo 3 ulizozi'list hapo...Cyo team iliyofanya vibaya,kufungwa mara nyingi wala kufungwa magoli mengi, na kama nia yako ilikuwa ni kuchambua hizi team 2 kwnn basi umeacha case ya team iliyofunga magoli mengi,ungeiweka kwenye D (Dada) walau.
Nimeamini mahaba hufifisha uwezo wa mtu ku'analyze mambo,ktk hali ya kawaida ckutegemea Sembo kama utakuja na hoja ya ki'layman kama hii,hizi ni type ya hoja za kina Allistides cijui Astrida na Ngarna
Ni mtazamo tu Wandugu.

Haha.. Mkuu hizi ni A Be Che za Mnyama mkali mwituni, pengine kuliko wote na Yanga tu.. Mimi nimekuja na A Be Che tu ndo mana hakukua na nafasi ya timu iliyofunga magoli mengi.. Nadhani unaweza nawe ukaja na A Be Che De ili uweze kuliweka na hilo.
 
Mapinduzi cup na mtani jembe haya ni makombe yenu..... Ila kule kwenye lingi ndefu mtaendelea kuwa wasindikizaji
 
Msimbazi Mnaongea sana kama mmekula usembe. Subirini kaburi lishachimbwa.
 
Mkuu kwanini mmeanza kukata tamaa mapema?
Sio kukata tamaa, huwa tunapenda nanyi watani zetu tuwaachie walau mpate hata kombe moja maana tukiwakazia hamkawii kusema tumelinunua
 
Sio kukata tamaa, huwa tunapenda nanyi watani zetu tuwaachie walau mpate hata kombe moja maana tukiwakazia hamkawii kusema tumelinunua
[emoji1] [emoji1] [emoji1] .. Nimekuelewa Mkuu.
 
Mikia tayari wameandaa waraka wa visingizio wakipigwa.

Wataanza na mwamuzi kama kawaida yao. Mengine yanayofanana na hadithi za Abunowasi yatafuata. Utasikia Yanga inapendelewa na ZFA. Mara utasikia Yanga haijawalipa hela yao ya Kessy.

Haji Manara keshaandaa waraka huo. Utatoka dakika tano baada ya kipenga cha mwisho. Kesho yake, waraka utaongezewa nguvu na Hans Poppe.

Ushari kwa ZFA. Hao jamaa wanauwezo wa kung'oa hata viti vya zege. Ni vyema kuandaa KMKM wakutosha kuwashikisha adabu.
 
A BE CHE hizi ni za kombe la mwaka huu tu.. nazo ni kama ifuatavyo;

A:Timu iliyofanya vibaya katika michuano hii [Iliyoaibisha timu zinazoshiriki VPL]
1. Yanga
Imekua ya pili katika kundi lake huku Simba SC ikiongoza kundi lake.

BE:Timu iliyofungwa mechi nyingi [imekua punching bag]
1. Yanga
Imefungwa mechi 1.. huku Simba SC ikiwa haijapoteza mechi yoyote hadi sasa.

CHE:Timu iliyofungwa magoli mengi [yenye defence mbovu]
1. Yanga
Mpaka sasa kabugizwa magoli manne.. na hii ni katika mechi 3 tu alizocheza.. huku Simba SC ikifungwa goli moja tu.. tena kwa taabu sana katika mechi 4 alizocheza.

ANGALIZO: Ukiangalia pia trend ya Yanga ya 6-0, 2-0, 0-4, naona kinachofuata ni Simba SC anaenda kuivunja rekodi yake mwenyewe ile aliyowabugiza goli 6-0.
Ili kuepuka hii fedheha anayoenda kuipata Yanga, nawashauri jambo moja.. MSIINGIZE TIMU UWANJANI.. Mkikaidi shauri yenu.

Mikia mtainingia na over confidence iliyoigharimu Club Bingwa ya Tanzania kwenye mchezo na Lambalamba.
Kisaikologia, tayari mikia wanajiona wapo juu na Yanga ni underdogs. Ndivyo ilivyokuwa kwenye mchezo wa Yanga na Azam.

Wala hakutakuwa na matuta. First half mchezo wote utakuwa umeishaamuliwa.
 
Mikia mtainingia na over confidence iliyoigharimu Club Bingwa ya Tanzania kwenye mchezo na Lambalamba.
Kisaikologia, tayari mikia wanajiona wapo juu na Yanga ni underdogs. Ndivyo ilivyokuwa kwenye mchezo wa Yanga na Azam.

Wala hakutakuwa na matuta. First half mchezo wote utakuwa umeishaamuliwa.

Ni kweli Mkuu, first half tutakua tushamaliza mchezo wote.. na kila nikiangalia, naona tunaenda kuwabugiza goli zaidi ya tatu.
 
Ni kweli Mkuu, first half tutakua tushamaliza mchezo wote.. na kila nikiangalia, naona tunaenda kuwabugiza goli zaidi ya tatu.
Kabisa mkuu.. Naona kuna mvua ya magoli hasa ukizingatia Martin Sanya hayupo
 
Back
Top Bottom