Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
joined August 2020Hapa Jamaa kuna kosa alilifanya Sugu ana nafasi 41/100
Watu wa Mbeya Tunalifahamu hili
Aah wapi. Acha kujifaragua. CCM wasema hovyo nyie muone kosa halafu mkae kimya? Mngesha bwatuka tayariHapa Jamaa kuna kosa alilifanya Sugu ana nafasi 41/100
Watu wa Mbeya Tunalifahamu hili
Heshimu wakubwaSo Wewe ulietangulia na utumbo wako wa miaka yote una lipi labda?
Mwaka huu namba zimewakataa madikteta wote... Dikteta Alfa Konde kapigwa chini Guinea bado hapa 28.10.2020 dikteta wenu tunampiga chiniSo Wewe ulietangulia na utumbo wako wa miaka yote una lipi labda??
Sugu afike akubali hana chake miaka 10 ya kujinufaisha yeye inamtosha
Tunataka Msomi mwenye ushawishi.Sugu afike akubali hana chake miaka 10 ya kujinufaisha yeye inamtosha
Kwa akili hizi ndio maana ccm mnasimika wagombea wabovu wabovu tu...! Mfano Rashid bin Gwajiboi hakufaa kabisa kugombea yule ni International Tapeli...Sugu afike akubali hana chake miaka 10 ya kujinufaisha yeye inamtosha
Hatari ipi unaizungumzia wewe !!!?Viapo hivi ni hatari mno !