Mnonji toka anase Katika kaburi na mkono wake kuwa mkubwa sijui kama anajishughulisha na hayo mamboMbona simuoni Juma Mnonjii hapo?
Dah kuna mambo ya ajabu kwenye mpira!Mnonji toka anase Katika kaburi na mkono wake kuwa mkubwa sijui kama anajishughulisha na hayo mambo
Dah! Hatari sana mkuuMnonji toka anase Katika kaburi na mkono wake kuwa mkubwa sijui kama anajishughulisha na hayo mambo
Sio kupungukiwa na kitu bali ni aibu ya Taifa.
Kwa upuuzi huu, kila timu iwe na uwanja wake wafanye hayo mambo kwenye viwanja vyao
Duuh! Fafanua zaidi kuhusu tukio hiloMnonji toka anase Katika kaburi na mkono wake kuwa mkubwa sijui kama anajishughulisha na hayo mambo
Kiongozi mwenye uwanja ni serikali. Ulinzi ni kazi yakeSimba kuulinda uwanja wewe inakuathiri nini? Mi nlidhani wanapaswa kupongezwa sababu wanalinda ili usiharibiwe.
Wee waulize makomandoo wa zamani Watakuambia kulikuwa na mechi akapewa vitu akafukie katika kaburi ndio akanasa ikabidi mganga amnasue ndio salama yake mkono ukawa mkubwa
Kiongozi mwenye uwanja ni serikali. Ulinzi ni kazi yake
Baada ya mechi mnaendalea kuulinda au lengo lishatimia hadi mechi nyingine?Hujawahi kusikia ulinzi shirikishi? Hapa nadhanu utakuwa umejichanganya. Serikali yenyewe inasema kila raia/mwananchi ni mlinzi wa mali ya umma. Na ndo maana hata kuna ulinzi shirikishi ndo maana ukimwona mtu anaharibu sehemu au anaiba haunyamazi ukasema ni kazi ya serikali. Kwan serikali ni nani?
Innalilahi wainna lilahi rajounMbona simuoni Juma Mnonjii hapo?