Jana usiku eti makomando wa simba wana ulinda uwanja..sasa swali la kujiuliza Saoura fc ni wageni hawajui chochote wataufanya nn uwanja au watafukia nn
simba bwana eti wakiulinda uwanja ndio watawafunga waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
simba bwana eti wakiulinda uwanja ndio watawafunga waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app