Kuelekea pambano kati ya Simba na JS Saoura, inadaiwa hawa ni mashabiki wa Simba wakilinda uwanja

Yote yanawezekana. Sifahamu kwa nini hili linakutesa. Maana wanaolinda ni waume wa watu ambao maybe wake zao ndo wangelalamika.ila rafiki yangu umeumia hao watu kulinda uwanja.

Kwani wanakuingiza hasara gani? Mi nadhani waliona wao walale pale then sioni tabu. Na serikali bila shaka itakuwa imeshukuru maana inawezekana watu kabla ya mechi wakafanya uharibifu wa uwanja. Na kama wake zao waliridhika basi kwa wengine wasiumie
Baada ya mechi mnaendalea kuulinda au lengo lishatimia hadi mechi nyingine?
 
Chizi maarifa.
No more, no less!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…