Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nannyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Niko hapa kitandan nimeket mikonon nimeshika maandiko matakatifu ya bwana
Natafakar sana juu ya maisha yangu siku nikifa je nitatupwa moton? Au nitaenda kufurah na malaika za bwana
Nina hofu na mashaka sana juu ya hatma yangu huko mbingun, ninawaza sana hapa huku nikisikliza nyimbo za injil
Pasaka ndo hiyo imefika na nimefunga siku tano tu
Nisamehe bwana mimi ni binadam mkosefu siko mtimilifu
Nisamehe bwana wa majeshi NATUBU ZAMBI ZANGU, NISAFISHE BABA, NIOSHE KATIKA KRISTO ILI NIENDE KWA NJIA ZAKO TAKATIFU
NIFANYE NIWE MWEMA EWE BABA MKUU WA MBINGUN
AMeeeeeN
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Niko hapa kitandan nimeket mikonon nimeshika maandiko matakatifu ya bwana
Natafakar sana juu ya maisha yangu siku nikifa je nitatupwa moton? Au nitaenda kufurah na malaika za bwana
Nina hofu na mashaka sana juu ya hatma yangu huko mbingun, ninawaza sana hapa huku nikisikliza nyimbo za injil
Pasaka ndo hiyo imefika na nimefunga siku tano tu
Nisamehe bwana mimi ni binadam mkosefu siko mtimilifu
Nisamehe bwana wa majeshi NATUBU ZAMBI ZANGU, NISAFISHE BABA, NIOSHE KATIKA KRISTO ILI NIENDE KWA NJIA ZAKO TAKATIFU
NIFANYE NIWE MWEMA EWE BABA MKUU WA MBINGUN
AMeeeeeN