ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Siku za hivi karibuni kumekuwa na matamko mengi sana kutoka Kwa viongozi wa Serikali wakiji bebisha Kwa Walimu.
Tamko la hivi punde ni la Waziri Mchengerwa akidai kwamba Walimu ni watu muhimu sana Kwa Taifa hivyo hatokubali wachezewe.
Inaelekea Walimu Huwa Wana play vital role kwenye uchaguzi kuliko Watumishi wengine ndio maana Serikali inajibebisha kwao.kwa Kauli na matendo.
-Imepiga marufuku kuwatoa Walimu kwenye kamati za Ujenzi na kutaka walimu ndio wasimamie ujenzi wa miradi kwenye maeneo Yao.
-Imeahidi Kuajiri zaidi ya walimu 13,000
-Imeahidi kuwapandishia madaraja wote na wengine wameshapandishwa
-Imeahidi Kuwajengea nyumba Kwa Kasi zaidi kuanzia mwaka wa 2024/2024.
Hapo awali ujenzi unafanyika ila sio Kwa speed ya mwakani maana Rais mwenyewe aliwapigia simu eti kuwasalimie wakiwa kwenye kongamano lao.
Swali: Je, Walimu ndio Watumishi pekee muhimu Kwa Serikali kushinda Maaskari,Manesi,Watendaji wa Vijiji/Mitaa na Wenyeviti wa Vitongoji kwenye harakati za ushindi wa Chama mwaka 2025?
Tamko la hivi punde ni la Waziri Mchengerwa akidai kwamba Walimu ni watu muhimu sana Kwa Taifa hivyo hatokubali wachezewe.
Inaelekea Walimu Huwa Wana play vital role kwenye uchaguzi kuliko Watumishi wengine ndio maana Serikali inajibebisha kwao.kwa Kauli na matendo.
-Imepiga marufuku kuwatoa Walimu kwenye kamati za Ujenzi na kutaka walimu ndio wasimamie ujenzi wa miradi kwenye maeneo Yao.
-Imeahidi Kuajiri zaidi ya walimu 13,000
-Imeahidi kuwapandishia madaraja wote na wengine wameshapandishwa
-Imeahidi Kuwajengea nyumba Kwa Kasi zaidi kuanzia mwaka wa 2024/2024.
Hapo awali ujenzi unafanyika ila sio Kwa speed ya mwakani maana Rais mwenyewe aliwapigia simu eti kuwasalimie wakiwa kwenye kongamano lao.
Swali: Je, Walimu ndio Watumishi pekee muhimu Kwa Serikali kushinda Maaskari,Manesi,Watendaji wa Vijiji/Mitaa na Wenyeviti wa Vitongoji kwenye harakati za ushindi wa Chama mwaka 2025?