Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.
Kuna vijana kadhaa ndani ya CHADEMA walikuwa wamekomalia kuhakikisha Zitto haendi mbele, imenisikitisha sana. .

Yeye kasema hao hao ndo wamemtuma. sasa tushike lipi?

Na tuna nakala ya kila kilichoongeleka katika kikao cha jioni ya leo, baada ya kusikiliza mara kadhaa nimejikuta nakosa imani KABISA! Lakini, muda bado unaruhusu.... Mruhusuni Zitto agombee nafasi ya uenyekiti, acha unyanyasaji kwa kisingizio cha ujana!
Kuna mifano kadhaa ambayo Zitto ameyumbisha sis washabiki, nafikiri unayajua vizuri. Siasa na Watz nafikiri unawajua. Mimi nipo huku kijijini not sure where are you but majority of Tanzanians ambao wamemsikia na wamechoka. Bora Mbowe kuliko Zitto ila wanaomsukuma Zitto wanasababu zao ambazo mimi na wewe might not lakini sio kumkomboa mtz kama wanavyohisi. # 1 wapo smart kwa hili ndo maana wanatumia sana mashushu kupata taarifa na kuelekeza maamuzi.

Yawezekana kugombea kwake kama angeshindwa kungesababisha 'Anguko lake' ambalo nadhani si 'Anguko la CHADEMA' kama ilivyokwishatabiriwa... Niwahakikishie kuwa kwa kumlazimisha aondoe jina ni kupelekea Anguko la CHADEMA.
Chadema is Slaa, Zitto and Mbowe. list hii inaenda huku ikipungua. Ina maana Slaa ni nguzo muhimu kuliko Zitto na Mbowe. Can you see kuwa bado chama ni kichanga? Hivi ikitokea kura ni 49/51, na aina ya watz tulio nao huoni kama ni tatizo mkuu?

Bora wote waondoke but kama Zitto kachomoa bora zaidi. I was not happy seeing Zitto kuwa Chair maana bado vision yake inahitajika. # 1 wamemjua wanataka lao jambo. Mambo yale yale ya "CHAGUO LA MUNGU".
 
CHADEMA walikuwa sahihi sana katika hili. Hivyo watu walikuja hapa na kusema mengiu sana kuhusu Zitto na CHADEMA lakini maamuzi yao yalikuwa sahihi sana
 
kwa kweli nimesikitishwa na kitendo cha kumshinikiza Zito asigombee uenyekiti huku ni kuinyonga demokrasia.Lakini kikubwa kilichonisikitisha ni kusoma majina ya wale wanaoitwa wazee wa CHADEMA kama nikweli ni hao basi chama kina safari ndefu unless yale majina yawe siyo yenyewe.Ymetajwa majina kama Mzee Mtei,Bob Makani, sikumbuki vizuri kama ni KISESERA wadaumtanirekebisha kwa hili na Halima Mdee Dk Slaa na Ndesamburo.Nina tatizo na idadi ya hawa wazee wenyewe,pili na baadhi ya wajumbe ,kw mfano Mzee MTEI namheshimu lakini hapa kuna conflict of interest kwani Mzee Mtei ni baba mkwe wa Mbowe sidhani kama anaweza kuacha kumtetea mkwe wake ambaye ni Mbowe hili lipo wazi wa hiyo nadhani yeye angekaa pembeni.Pili kumhusu Halima Mdee kama ni kweli yeye aliingia kwenye hicho kikao kama mzee basi chama hakina wazee amabao wanaweza kujadili mambo kwa kina au IN THREE DIMENSION.Kingine niachopata wasiwasi ni idadi ya hao wanaoitwa wazee ni wachache mno kujadili mustakabali wa chama kinachotegemewa kuchukua nchi kama mambo yakiendelea kuharibika huko CCM kama ilivyo sasa Naomba tuliangalie hili kwa mustakabali wa CHADEMA
 
Halafu angalia, Mwanakijiji naye kaingia mtini, atacoment nini na mambo yameshaeleweka?

Mkuu mwanakijiji, wadau wanasubiri maoni yako juu ya hili.

Hii; according to Vladmir Puttin, inaitwa CONTROLLED DEMOCRACY.

Nakubaliana na busara iliyotumika kwa wazee wa Chadema, Siyo rahisi kumpa mtu uongozi wa Kitaifa bila kumtayarisha, vinginevyo Zitto angeshinda na Chadema wangejikuta kule aliko NCCR Mageuzi kwenye siasa za ukumbi wa maelezo!
 
This is ridiculous; I don't understand why many JF's members have so much hatred against Wachaga. As I said before, this issue has got nothing to do with ukabila , that conclusion was reached in order to protect the party from self inflicted wounds caused by Jamii Forums favorite son. The leaders of the party understand that the party's interests should precede personal ambitions. For the sake of clarifying my point; let us revise our memory of what had happened three months ago, it was Zitto who came in here and made it official that he will not run for parliamentary reelection so that he can go back to school.

It seems that was three months ago, today Zitto has changed his mind. Now, he is not only planning to defend his constituency but also wants to run for Chadema's chairmanship. Zitto's actions clearly indicate both inpatient and inconsistency; and sadly not matured enough to lead a serious party of the likes of Chadema. The question that ought to be asked is what if next month he will reiterate his decision of going back to school? The guy is so obsessed with himself and that is reason I think he is not ready for prime time. There is a reson wahenga once said, "Patience is Virtue."
 
Last edited:
Sawa tu assume ni Dowans ndio inamtafuna.
Lakini hiyo dowans angeamuliwa na wapiga kura kwa kumnyima huo uenyekiti ama tuhuma zote mnazommwelekezea zingetumika ktk saduku la kura, na si vinginevyo.

JF ninaiamini kama ni sehemu ya watu makini. Hivyo tunapobishana katika hili naanza kupata wasiwasi wa watu walio humu. Hata sikutegemea kama INVISIBLE angeanzisha mada ya namna hii kwa lugha ya namna hii. Ameshindwa kuwa objective kabisa. Kama Chadema walivyomshtua kwa maamuzi yao, then likewise na yeye kanishtua sana.
Zitto huo uenyekiti angeupata, kisa umaarufu, ujana, umakini na sifa nyingine nzuri alizonazo. Ila ndo maana kwenye vyama kuna process ya kupitisha watu, mfano kamati kuu ya CCM na huko chadema sijui ndo baraza la wazee au sijui nani. Huyu Zitto tunavyomfahamu pengine sio kwa walio karibu naye wanavyomfahamu. Sasa ukiniletea Zitto kumchagua namwona tu kwenye TV na jukwaa nitamchagua, then kitakachofwata badae itakuwa too late. Ndio mfano unaotolewa wa JK mwaka 1995, akina Nyerere walikuwa wanamfahamu. Walijua akiletwa kwa wananchi atapita tu, na hapo chama kitakuwa responsible kama vehicle ya kuleta wapigiwa kura kwa wananchi. Wakaona huyu anahitaji kukomaa zaidi. Mwaka 2005 wamemchagua, matokeo yake tunayaona...alikomaa au hakukomaa huo ni mjadala mwingine. Nadhani inabidi tukubali kazi inayofanywa na kamati za kupitisha wagombea, zina faida zake....sababu zao za kumshauri aachie labda wameona anahitaji muda. Na mimi naona muda ana uhitaji sana sana...kwani kuna maamuzi machache ambayo keshayafanya yanayoonyesha bado damu changa inachemka mwilini, with age, close advice, observation and learning atafikia anapotaka afike. Na mimi namwombea kila la kheri, Tanzania kama nchi tunamhitaji Zitto na wengine wengi wa dizaini yake ila walio komaa vizuri, tested and proved.
Nawasilisha wakuu
 
This is ridiculous; I don’t understand why many JF’s members have so much hatred against Wachaga. As I said before, this issue has got nothing to do with ukabila , that conclusion was reached in order to protect the party from self inflicted wounds caused by Jamii Forums favorite son. The leaders of the party understand that the party’s interests should precede personal ambitions. For the sake of clarifying my point; let us revise our memory of what had happened three months ago, it was Zitto who came in here and made it official that he will not run for parliamentary reelection so that he can go back to school for further studies.

It seems that was three months ago, today Zitto has changed his mind. Now not only he is planning to defend his constituency but also wants to run for Chadema’s chairmanship. Zitto’s actions clearly indicate both inpatient and inconsistency; and sadly not matured enough to lead a serious party of Chadema likes. The question that ought to be asked is what if next month he will reiterate his decision of going back to school? The guy is so obsessed with himself and that is reason I think he is not ready for prime time. There is a reson wahenga once said, "Patience is Virtue."

Just a stupind qn was mbowe matured enough to lead CHADEMA when he was elected 4 the 1st time?
 
Me nasema kwa hiki kituko walichokifanya... safari hii wawe na manuari, helicopter, semi-trailers sijui mandege ya campaign etc ....Hamna kitu
 
Mkuu mwanakijiji, wadau wanasubiri maoni yako juu ya hili.

Hii; according to Vladmir Puttin, inaitwa CONTROLLED DEMOCRACY.

Nakubaliana na busara iliyotumika kwa wazee wa Chadema, Siyo rahisi kumpa mtu uongozi wa Kitaifa bila kumtayarisha, vinginevyo Zitto angeshinda na Chadema wangejikuta kule aliko NCCR Mageuzi kwenye siasa za ukumbi wa maelezo!

Hivi wakati mnampa Mbowe uenyekiti mlikuwa mmemuandaa???

Mbowe si mmempa uchea wakati akiwa mbunge wa hai?au mnataka tuamini kuwa kuwa mbunge wa hai ndo kipimo chenu cha uzoefu kwahiyo Zitto anatakiwa kwenda kugombea hai ili a-qualify kuwa mwenyekiti.

Kwahili chadema wamerudi nyuma hatua kumi.

Siku zote chadema wamejaribu kuikana hii dhana ya kuwa ni NGO ya famila fulani, chama cha kaskazini, chama cha wachaga, chama cha wakriso n.k n.k

Lakini kwa hili la "wazee wa chama" tena watu wanne tu wanajadili suala kubwa kiasi hiki na kuja na "busara" ya kumtaka zitto ajitoe ili kukinusuru chama, inafungua milango ya wasiwasi zaidi na kuimarisha dhana ya chadema kuwa chama cha kibaguzi.

Hivi kumbe zitto akiwa mwenyekiti ndio chama kitagawanyika lakini akiwa mbowe mambo tambarare, kwa maneno mengine nikitabiri kwamba zitto hatoweza kuupata uenyekiti wa chadema hadi mbowe atakapoamua kutogombea nitakuwa sahihi.
kwa sababu hakuna anayeweza kututhibitishia kama Mbowe akimaliza muhula huu hatakuwa na tamaa ya kugombea tena.

Kwa hili chadema mmejitia aibu sana.
 
This is ridiculous; I don’t understand why many JF’s members have so much hatred against Wachaga. As I said before, this issue has got nothing to do with ukabila , that conclusion was reached in order to protect the party from self inflicted wounds caused by Jamii Forums favorite son. The leaders of the party understand that the party’s interests should precede personal ambitions. For the sake of clarifying my point; let us revise our memory of what had happened three months ago, it was Zitto who came in here and made it official that he will not run for parliamentary reelection so that he can go back to school.

It seems that was three months ago, today Zitto has changed his mind. Now, he is not only planning to defend his constituency but also wants to run for Chadema’s chairmanship. Zitto’s actions clearly indicate both inpatient and inconsistency; and sadly not matured enough to lead a serious party of the likes of Chadema. The question that ought to be asked is what if next month he will reiterate his decision of going back to school? The guy is so obsessed with himself and that is reason I think he is not ready for prime time. There is a reson wahenga once said, "Patience is Virtue.

Poor Rufiji. Mboweism imemfumba macho
 
Rejea makala ya Ngurumo kwenye gazeti la jana la Tanzania Daima!! Hivyo kama yeye amesoma hizo na kuamua kujitoa
 
Zito amejaa kiburi,dharau na amekua mjivuni....analeta dharau hata kwa walio mfikisha hapo, fikiri anaongea na baraza la wazee, kisha amekubaliana nao maswala fulani yeye anatoka mbio katika vyombo vya habari kuelezea yale ambayo yamezungumziwa kwenye vikao halali vya chama, bado kama raia wakawaida wa Tanzania huu ni mwanzo wa mwisho wakija wetu huyu, kama CHADEMA anadhani hawajamtendea haki anapaswa aende mbele kwa mbele akiwaachia vijana wengine wenye moyo....
CHADEMA inawaheshimu wazee, na hao ni nguzo ya nguvu zake...akina Mtei,Bob Makani na wengineo, hata leo hii WANGEKUWEPO HAI WAZEE KAMA mzee Brown Ngwilulupi ,RIP, bado nidhamu ya chama ni muhimu kuliko kumpoteza muasi mmoja....
 
Ndesamburo mwenyekiti wa chadema mkoa wa Kilimanjaro.soma vizuri habari hiyo.

Mbona hata wewe hujasoma vizuri swali kaka? Ndesamburo na mtoto wake wameshinda viti gani? Kusema wameshinda kuongoza chama mkoa ni kitu kinachoolea hewani. Hata Diwani, hata mweka hazina wa chama Wilayani, wanaongoza chama mkoani. Kiti cha mtoto wa Ndesamburo ni nini?
 
Hiko chama cha wakaskazi wewe Zitto tafuta mkate wako wa kila siku tuu usijaribu kushindana nao wasije wakakuwangwe bure!Bado tunakuhitaji sana kijana katika kujenga taifa hili na haswa kuhusu ahadi yako ya kukiacha chama hicho na kurudi nyumbani hapo mwakani.
 
Some people are missing the bigger picture.

1. Wengi wetu tunachokitetea ni kuona ndugu Zitto anapewa nafasi ya kugombea kama katimiza vigezo husika. Kwamba atashinda au atashindwa..hayo ni maamuzi ya wanachadema watakaoshiriki uchaguzi. Sisi wengine hatuhusiki.

2. Trust me, CHADEMA kama kweli mmemshurutisha Zitto asigombee simply because mnataka Mbowe agombee...well you can spin the way you want..But YOU HAVE LOST THIS ARGUMENT HANDS DOWN. Harafu Chadema mnasahau kwamba sisi ndo tutawapigia kura! au mnafikiri mtafikiaje malengo yenu?

3. Reality check: CHADEMA mmewaudhi wananchi wengi kama sisi kwa sababu mmeshindwa kutekeleza yale mnayoyahubiri. Kwa nini muogope Mbowe kupambana na Zitto kwenye ballot box? maana yake mnaogopa anaweza kushinda..Right? SO WHAT IS THE DEMOCRACY MNAYOIPIGANIA?

4. I say it again: HAPA KUNA CONFLICT OF INTERESTS. Mzee Mtei hawezi kuwa jaji kwenye kesi ambayo MKWE wake Mbowe ana maslahi. Please people..watu we aint stupid to know this. Harafu kesho mkipata dola mtakuwa mnahimiza rule of law??? duh...Malalamiko ya Uchagga sijui mtayakwepea wapi..It really sucks! Hata kama hamkuwa na hiyo nia..lakini this is obvious...stupid as it may seem..

5. Narudia tena: HAKUNA anayesema kwamba Zitto angekuwa mwenyekiti. Tunachowasulubu wakuu wa Chadema ni kushindwa kumpa nafasi yake ya kidemokrasia jamaa akagombea. Angeshindwa na Mbowe..kwani shida iko wapi?


Well wengi wetu hatuna namna ya kuwasulubu hao viongozi wa Chadema kwa hii (demokrasia ya Vladimir Putin). But I can assure you WE SHALL PROTEST AGAINST YOUR ACTIONS THROUGH THE BALLOT BOX!

Masanja,
 
Zito amejaa kiburi,dharau na amekua mjivuni....analeta dharau hata kwa walio mfikisha hapo, fikiri anaongea na baraza la wazee, kisha amekubaliana nao maswala fulani yeye anatoka mbio katika vyombo vya habari kuelezea yale ambayo yamezungumziwa kwenye vikao halali vya chama, bado kama raia wakawaida wa Tanzania huu ni mwanzo wa mwisho wakija wetu huyu, kama CHADEMA anadhani hawajamtendea haki anapaswa aende mbele kwa mbele akiwaachia vijana wengine wenye moyo....
CHADEMA inawaheshimu wazee, na hao ni nguzo ya nguvu zake...akina Mtei,Bob Makani na wengineo, hata leo hii WANGEKUWEPO HAI WAZEE KAMA mzee Brown Ngwilulupi ,RIP, bado nidhamu ya chama ni muhimu kuliko kumpoteza muasi mmoja....
Papa sam sikubariani na wewe kwa sababu zifuatazo.Kwanza nafahamu kwamba CHADEMA ina katiba na katiba inasema wazi kuhusu utaratibu wa kugombea nafasi ya uongozi uhuru na haki ya mwanachama kugombea na hii ndiyo Demokrasia na demokrasi na ushindani katika mchakato wa kupata viongozi unazaa viongozi bora pasipo ushindani tunapata viongozi dhaifu.Unaposema ya kwamba hana shukurani kwa waliomfikisha hapo alipo ni kosa vile vile kwani CHADEMA ilipofika sasa mchango wa Zitto ni mkubwa na nimatumaini yangu kama angelipewa nafasi ya kugombe angelishinda na kuleta manufaa zaidi kwa CHADEMA.Unapozungumzia mambo ya kulipana fadhira haya ndiyo matatizo yanayomkabili Mh.Rais JK. analipa fadhira za mafisadi waliomuweka madarakani.Kwa hiyo kwa kiongozi yeyote makini anapoamua kugombea anachopashwa kuangalia ni sifa za uongozi,katiba ya chama chake na uwezo wake katika kukisaidia chama chake.Ni kanuni gani aliyoivunja Mh.Zitto?Uamuzi wa Wazee na uongozi wa juu wa CHADEMA umetutisha na kutusikitisha Tunashindwa kukitofautisha CHADEMA na CCM!Kumbe chama kinawenyewe wao ndio wanaoamua nani awe nani nilikua nikichukulia upuuzi madai ya mgongano kati Chacha Wangwe na viongozi wa juu sasa naamini baadhi ya madai yaliyotolewa.INASIKITISHA!MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Poor Rufiji. Mboweism imemfumba macho

Msauzi,

Please be advised that I am not here to defend neither Mbowe nor Zitto. I am just analyzing this issue critically and give each side a fair shake. Trust me, Zitto must change his attitude if he wants to become a formiddable in Tanzania's politics.
 
Nani aliyesema CCM itashindwa or at least "itajaribiwa" 2010?

CCM ina mkono mrefu! Itashinda kwa kishindo!
 
Just a stupind qn was mbowe matured enough to lead CHADEMA when he was elected 4 the 1st time?

FL,
Siyo siri kuwa CHADEMA ni chama cha Mtei.

Free Media ahhhh Freeman Mbowe kaowa mtoto wa Mtei na AKAPEWA hiki chama. Kwa maana hii jamaa kapewa mtoto na chama.
Kitendo cha Muha kuja na kusema anataka akichukue, kwa kweli ni kuvunja miiko mikubwa sana hasa ukichukulia Mtei mwenyewe bado yupo. Hii ni sawa na kutaka kuvunja muungano wakati JKN bado yupo hai. Mbowe angelimwambia nini Mtei? Angelimwambia nini mkewe?

Ila tu ombi langu kwa Mtei family ni kuwa dunia hii ndivyo inavyokwenda. Walioanzisha vyama vya kisiasa USA, hawakutegemea kuwa siku moja maboss wake watakuja kuwa Mipingo. Wakati ni ukuta, lazima muwe tayari kuona siku moja Boss wa Chadema anakuwa mtu wa mbali sana kutoka Dar au Kilimanjaro. Vinginevyo basi mtakuwa mnapigana na wakati. JKN alifahamu hilo sijui? Kawaweka mbali sana wanae na matokeo yake CCM leo isingelikuwa UFISADI, wangelikuwa wanapeta bila kashfa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom