Ni imani yangu kuwa chama kitakuwa kimoja baada ya uchaguzi. Kimaumbile sina grudges. Tutapiga mstari na kusahau yaliyopita ili kuanza upya.lakini mkuu zitto vipi mtaondoa ukiritimba wa chama kimoja ndani ya bunge ili hali mnatukosesha usingizi tunawaza inakuwaje? au mmekoseana nini mpaka mnatupa pressure?? ah.... mnakera sana watu tumekuwa na matumaini leo hii ndo tunaambulia kashfa tu mitaani kwetu.....zitto niambie sisi tutajificha wapi dhidi ya kejeli za CCM mtaani kwetu..???
Baada ya kumlazimisha zitto asigombee uenyekiti wa CHADEMA bila sababu za msingi eti chama kitapasuka..
leo hii WAZEE hao hao wametoa mpya kwa kuufuta uchaguzi wa baraza la vijana la CHADEMA (BAVICHA)
sasa ndugu zangu hawa wazee ndio katiba yao au?
kama hari ikiendelea kuwa hivi,hii ni hatari sana kwa ukuaji wa mageuzi nchini
Kitu kimoja ninachoweza kukuhakikishia kuwa kamwe sitajiunga CCM. Lengo langu kuu ni kusaidiana na wenzangu kuhakikisha tunaondoa ukiritimba wa chama kimoja ndani ya Bunge. Soma signature yangu! Kwenda CCM is not an option. Wanaonijua wanajua hilo. Wasionijua wanadhani ninaweza hata kufikiria kwenda CCM.
Ni imani yangu kuwa chama kitakuwa kimoja baada ya uchaguzi. Kimaumbile sina grudges. Tutapiga mstari na kusahau yaliyopita ili kuanza upya.
niliombwa kujitoa na nikajitoa kama ilivyotangazwa.
Nakubaliana na wewe kuwa nilipaswa kuwa juu ya siasa zile. Nilijua Kafulila anapigwa vita na nguvu kubwa sana ndani ya chama. Nilitaka kuonyesha nguvu hiyo kuwa Kafulila naye ana watu. Ukitafsiri kuwa natoka naye Kigoma sawa, lakini Kafulila ni Mfipa wa Rukwa na mimi ni Muha wa Kigoma.
Ndugu yangu, matokeo hayakutangazwa. Basi yangetangazwa hata hayo ambayo hakufikia 50% ili kura zipigwe kwa wagombea 2 wa juu.
Kafulila meshinda kwa zaidi ya nusu ya kura. Walioshindwa hawataki kushinidwa.
Nilimpigia kampeni kafulila waziwazi bila kificho. Mimi sio mnafiki na ndio maana sikujihusisha na kusimamia ucahguzi ili nisiwe biased.
Ni imani yangu kuwa chama kitakuwa kimoja baada ya uchaguzi. Kimaumbile sina grudges. Tutapiga mstari na kusahau yaliyopita ili kuanza upya.
Ikiwa na maana ya kwamba ulikubaliana na hoja zilizotolewa na Kikao cha Wazee as to kwa nini wewe usigombee hiyo nafasi ya Uenyekiti wa Chama? Na ukaridhia hoja zao?
Tangu mh. Zitto alipokuwa akijigamba kuwa anamagari 5 n.k. mimi nilianza kuishiwa imani, lakini nae ni binadamu atueleze ekweli lakini.
Mimi kwanza sioni kama hata CCM inamkono hapo, ila ni yale yale ya uchu wa madaraka. kwamba zitto anamuunga mkono kafulia n.k. na wengine na kambi zao isho ni kukosa hata jimbo moja mwakani.
Posting yako ina reveal mengi katika Wanademokrasia nyie na hali inatisha ikiwa ni hivyo.
Jambo moja tu la kujiuliza Jee Mbowe ana roho safi nawe kama unavyoonekana wewe? Kama mtakuwa lenu moja sawa lakini kama yeye ni hao Makao Makuu basi aidha Chama kipya chaja au Makamba kupokea Vigogo wa Upinzani .
Kitu kimoja ninachoweza kukuhakikishia kuwa kamwe sitajiunga CCM. Lengo langu kuu ni kusaidiana na wenzangu kuhakikisha tunaondoa ukiritimba wa chama kimoja ndani ya Bunge. Soma signature yangu! Kwenda CCM is not an option. Wanaonijua wanajua hilo. Wasionijua wanadhani ninaweza hata kufikiria kwenda CCM.
Sasa Zitto ulikuwa unazunguka usiku kurubuni wapiga kura???
Ukisema Zitto alikuwa ana rubuni wapiga kura inaonekana uko shallow katika siasa, hao wanaorubuniwa ni mabinti wa miaka 12? si watu wazima? kwa nini usitumie neno kampeni???? UDSM tu uchaguzi wa DARUSO watu tulikuwa tunazunguka usiku kupiga kampeni sembuse in real politics, your question is so cheap ukipata wa kukujibu kama mimi , ujue ninakutoa usikojua kitu
Hii ndo demokrasia watu mnayo ililia hapa Tanzania demokrasia jamani bado angalia sasa kumbe jamaa alitoa mlungura.
Ni imani yangu kuwa chama kitakuwa kimoja baada ya uchaguzi. Kimaumbile sina grudges. Tutapiga mstari na kusahau yaliyopita ili kuanza upya.
Wala siasa siamini kama ni mchezo mchafu , kampeni na kuzidiana yes ndiyo mana ya ushindani na ushabiki muda wote .Kutofautiana mawazo yes ni jambo ka kaaida hata mtu na mzazi wake lakini huwa wanatafuta point ya kukutana.
Vijana Chadema kuwa na siasa za maji taka si mahala pake ni aibu kukimbilia forum kila mara .Yes kuna wengu wanasoma na wanaweza kutoa ushauri ila si kila jambo mnaletana hapa.halisaidii chochote ni kujiabisha tu .
Naamini bado kwamba mkishindwa katika kambi yenu basi mnakubali mnaendelea .Why uwe desparate hadi uje na news za aina hii hapa ? Kwani lazima uwe na madaraka si unaweza kuwa mwana chadema wa kawaida tu ? Unaweza toka makao makuu ukagombea huko mtaani tawini ama mkoani na wilayani ?
Aibu hii .Lakini ndiyo kukomaa pia .Chadema inakuwa na hakika uchaguzi utaonyesha nani kapi na maslahi tumbo na nani kichwa na maslahi Tanzania .
Poleni sana ila mshindane kwa hoja na vioja .
Haya ya Zitto sasa yanakatisha tamaa. Attitude ya Zitto ya kulinda heshima binafsi inaweza kuwa very damaging kwa chama na movement nzima ya mageuzi. Ni wazi kuwa chadema is more than Zitto wala haihitaji kusisitizwa hii. Ni wazi pia kuwa ndani vyama (any form of association) kuna differences, lakini namna ya kutatua matatizo si kumwaga mboga baada ya wengine kumwaga ugali! Mbona tumeona watu wengi wanasemwa kwa mabaya sana lakini wamekuwa wavumilivu! Naingiwa na wasiwasi sana na Zitto na uanamageuzi wake na qualities zake za uongozi! Zitto hivi unadhani akina Obama wangekuwa wanareact hivi wangefika kweli! You are now turning into a liability from an asset! Take a few days off.
will never be the same again, and the trust we had on CHADEMA will never be the same. Hapa mmeonyesha kuwa si chama mbadala wa CCM, bali kundi la wapenda vyeo. I'm sorry, but you should know that we trusted much on CHADEMA sasa mnaturudisha nyuma sana.
Also, i advice you keep silent because your words as for now heals nothing, zaidi yanaweza kuharibu zaidi. Poor us Tanzanians nani wa kutuokoa?
Unajua nilikuwa sijakusoma mkuu Zitto sasa nimekuelewa wabaya wenu wanao vuruga chama wamo humo humo ndani ya chama kwa nini msiwatupie vilago na kuwaambia ukweli waende wakapike majungu vyama vingine vipo vingi wanaweza kwenda kwenye NGO ya CCM au kwa mzee Kilacha pale au kwa ngosha UDP.