Juzi tu Zitto alikuwa analilia lockdown kupunguza misongamano ili kujikinga na Corona, leo hii awekusanya watu kiasi hicho. Kweli mwanasiasa si wa kumsikiliza
Kweli aisee....Hawa ni Wazenj wamemfuata kingunge wao Maalim. Hakuna jipya hapa !!!Siasa za nchi hii zimekosa mwelekeo kabisa kupokea wanachama wapya linageuka kuwa tukio la kitaifa na la kutangazia dunia.
Dah hapa ndipo tulipofika
Tatizo ubinafsi. Nani aachie madaraka? Nani ale pesa za ruzuku?Tatizo ni wale "wenzao" wanajiona wapo vizuri ilihali wapo na hali mbaya. Niliwahi shauri humu hawa waungane na wale wenzao kwa maana hawa wapo vizuri zenji wale wenzao wapo vizuri bara sasa muungano wao utakuwa na matokeo chanya kwenye siasa za upinzani Tanzania.
Chadema na ccm je?Kweli aisee....Hawa ni Wazenj wamemfuata kingunge wao Maalim. Hakuna jipya hapa !!!
Na Zitto asipokuwa makini ACT Wazalendo nayo itakuwa na sura ya udini tu kama ilivyokuwa CUF
Viongozi wote, wabunge na madiwani ni WAISLAMU, imetokea tu ama mmepanga, je mmewaza picha inayojengeka?Salaam Wakuu,
Leo Muda si Mrefu, Viongozi Wakuu wa Chama cha ACT Wazalendo kitaongea na Wananchi na Dunia kwa Ujumla. Ni tukio kubwa haijawahi kutokea.
======
UPDATES:
1048HRS: Kwa sasa ni Burudani inaendelea
1100HRS: Viongozi Wakuu wa ACT Wazalendo wanaingia Ukumbini wakiongonzwa na
Zitto zuberi Kabwe- KIONGOZI WA CHAMA
Maalim Ssif Sharif Hamad- MWENYEKITI WA CHAMA.
ADO SHAIBU- KATIBU MKUU
JUMA DUNI HAJI-MAKAMU MWENYEKITI ZANZIBAR
DOROTHY SEMU- MAKAMU MWENYEKITI BARA
NASSOR AHMED MAZRUI-NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR
JORAN LWEHABURA BASHANGE - NAIBU KATIBU MKUU BARA
1200hrs: Wabunge Waliohama CUF Wakabidhiwa kadi za ACT Wazalendo.
1215hrs: Webiro Wasira aka Wakazi, aka Beberu anapewa nafasi ya kusalimia. Anasema amekuwa aki0enda Sera, Misimamo ya Viongozi wa ACT Wazalendo. Uongozi bora ni Maarifa. Nashukuru ACT kwa kunialika kwenye Chama. Jimbo la Ukonga tulikabidhiwa kadi 126. Natangaza kutia nia Jimbo la Ukonga.
View attachment 1484037
1120hrs: Katibu Mkuu Ado Shaibu, anasimama kuelezea sababu ya WanaACT Kukutana hapa.
Ado: Hiki kinachotokea leo hakijawahi kutokea. Hii ya leo ni Kubwa kuliko. Leo tunapokea Ugeni mkubwa sana. Bunge limeshafika kamati. Leo chama chetu kitawapokea rasimi Waliokuwa Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania 21. Ilishawahi kutokea hiyo?
Mbali na Wabunge, tutapokea Madiwani kutoka Dar. Tumeshapokea Madiwani Tanga. Walipokelewa na Maalim Seif. Leo tutawapa heshima Madiwani 9 kutoka chama cha wananchi CUF watakao jiunga nasisi.
View attachment 1484060
Lakini pia wapo Wanasiasa Mashauri watapata kadi leo. Hilo ndio limetukutanisha hapa.
Baada ya hapo, Viongozi wetu watapata nafasi ya kuhutubia Taifa.
View attachment 1484033
View attachment 1484010View attachment 1484012View attachment 1484013
Siasa za namna hii zinajengwa katika ushabiki na ufuasi bila kuzingatia itikadi na falsafa ya chama.Kweli aisee....Hawa ni Wazenj wamemfuata kingunge wao Maalim. Hakuna jipya hapa !!!
Na Zitto asipokuwa makini ACT Wazalendo nayo itakuwa na sura ya udini tu kama ilivyokuwa CUF
Mungu ibariki ACT WAZALENDOSalaam Wakuu,
Leo Muda si Mrefu, Viongozi Wakuu wa Chama cha ACT Wazalendo kitaongea na Wananchi na Dunia kwa Ujumla. Ni tukio kubwa haijawahi kutokea.
======
UPDATES:
1048HRS: Kwa sasa ni Burudani inaendelea
1100HRS: Viongozi Wakuu wa ACT Wazalendo wanaingia Ukumbini wakiongonzwa na
Zitto zuberi Kabwe- KIONGOZI WA CHAMA
Maalim Ssif Sharif Hamad- MWENYEKITI WA CHAMA.
ADO SHAIBU- KATIBU MKUU
JUMA DUNI HAJI-MAKAMU MWENYEKITI ZANZIBAR
DOROTHY SEMU- MAKAMU MWENYEKITI BARA
NASSOR AHMED MAZRUI-NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR
JORAN LWEHABURA BASHANGE - NAIBU KATIBU MKUU BARA
1200hrs: Wabunge Waliohama CUF Wakabidhiwa kadi za ACT Wazalendo.
1215hrs: Webiro Wasira aka Wakazi, aka Beberu anapewa nafasi ya kusalimia. Anasema amekuwa aki0enda Sera, Misimamo ya Viongozi wa ACT Wazalendo. Uongozi bora ni Maarifa. Nashukuru ACT kwa kunialika kwenye Chama. Jimbo la Ukonga tulikabidhiwa kadi 126. Natangaza kutia nia Jimbo la Ukonga.
View attachment 1484037
1120hrs: Katibu Mkuu Ado Shaibu, anasimama kuelezea sababu ya WanaACT Kukutana hapa.
Ado: Hiki kinachotokea leo hakijawahi kutokea. Hii ya leo ni Kubwa kuliko. Leo tunapokea Ugeni mkubwa sana. Bunge limeshafika kamati. Leo chama chetu kitawapokea rasimi Waliokuwa Wabunge wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania 21. Ilishawahi kutokea hiyo?
Mbali na Wabunge, tutapokea Madiwani kutoka Dar. Tumeshapokea Madiwani Tanga. Walipokelewa na Maalim Seif. Leo tutawapa heshima Madiwani 9 kutoka chama cha wananchi CUF watakao jiunga nasisi.
Orodha ya Majina ya Wabunge na Madiwani waliojiunga ACT Wazalendo ni;
ORODHA YA WABUNGE, MADIWANI NA BAADHI YA WANACHAMA WASHUHURI WA CUF WANAOKABIDHIWA KADI ZA UANACHAMA WA ACT WAZALENDO LEO TAREHE 20, JUNI, 2020
1. Ndugu Suleiman S Bungara – Kilwa Kusini
2. Ndugu Juma Kombo Hamad – Jimbo la Wingwi
3. Ndugu Masoud Abdallah Salim – Jimbo la Mtambile
4. Ndugu Ally Saleh Ally Albator – Jimbo la Malindi
5. Ndugu Ali Salim Khamis - Jimbo la Mwanakwerekwe
6. Ndugu Hamad Salim Maalim – Jimbo la Kojani
7. Ndugu Khalifa Mohamed Issa – Jimbo la Mtambwe
8. Ndugu Mohamed Juma Khatib – Jimbo la Chonga
9. Ndugu Twahir Awesu Mohamed – Jimbo la Mkoani
10. Ndugu Khatib Said Haji – Jimbo la Konde
11. Ndugu Haji Khatib Kai – Jimbo la Micheweni
12. Ndugu Othman Omar Haji – Jimbo la Gando
13. Ndugu Dr. Suleiman Ali Yussuf - Jimbo la Mgogoni
14. Ndugu Mbarouk Salim Ali – Jimbo la Wete
15. Ndugu Nassor Suleiman Omar – Jimbo la Ziwani
16. Ndugu Yussuf Salim Hussein – Jimbo la Chambani
17. Abdallah Haji Ali – Jimbo la Kiwani
18. Ndugu Yussuf Haji Khamis – Jimbo la Nungwi
19. Ndugu Mohamed Amour Mohamed Jimbo la Bumbwini
20. Ndugu Mgeni Jadi Kadika – Mbunge Viti Maalum
MADIWANI WA DAR ES SALAAM
1. Ndugu Ramadhan Kwangaya – Manzese
2. Ndugu Jumanne Amir Mbunju – Tandale
3. Ndugu Ali Haroub Mohamed – Makumbusho
4. Ndugu Omar Thabiti (Kijiko) – Makurumla
5. Ndugu Jumanne Kassim Kambangwa – Mbagala
6. Ndugu Abdul Ali Matogoro – Azimio
7. Ndugu Abdalah Omar Kipende – Mianzini
8. Ndugu Haijat Safina Mgumba – Viti Maalum, Ilala
9. Ndugu Leila Hussein Madibi – Viti Maalum, Ubungo
View attachment 1484060
Lakini pia wapo Wanasiasa Mashauri watapata kadi leo. Hilo ndio limetukutanisha hapa.
Baada ya hapo, Viongozi wetu watapata nafasi ya kuhutubia Taifa.
View attachment 1484033
View attachment 1484010View attachment 1484012View attachment 1484013
Kulikoni?
Sio chadema Tena [emoji848]Mungu ibariki ACT WAZALENDO
Kweli aisee....Hawa ni Wazenj wamemfuata kingunge wao Maalim. Hakuna jipya hapa !!!
Na Zitto asipokuwa makini ACT Wazalendo nayo itakuwa na sura ya udini tu kama ilivyokuwa CUF
Ninachoweza kusema kwa sasa ni kumpongeza Zitto Zuberi Kabwe kwa kuweza kukijenga Chama chake ndani ya muda mfupi (QUOTE]Mbatia kaamua kujifunika kwenye makwapa ya ccm akiwa ameaminishwa kupewa wabunge 20 mjinga sana nadhani hawajui vzr ccm
Sura ya udini ipo. Wote 21 ni wa dini na safu ya viongozi wote ni wa dini.Kweli aisee....Hawa ni Wazenj wamemfuata kingunge wao Maalim. Hakuna jipya hapa !!!
Na Zitto asipokuwa makini ACT Wazalendo nayo itakuwa na sura ya udini tu kama ilivyokuwa CUF
Ndio wanasiasa wetu walivyoJuzi tu Zitto alikuwa analilia lockdown kupunguza misongamano ili kujikinga na Corona, leo hii awekusanya watu kiasi hicho. Kweli mwanasiasa si wa kumsikiliza