Ikifa chadema kwa kiasi gani umaskini wako utaisha mijitu mingine nyie ni hasara kwa TaifaCCM wanakamilisha Jambo lao Kubwa sana hapo kupitia CCM B a.k.a ACT Wazalendo ili Kupanga Mkakati wa Kukiua na Kukizika kabisa CHADEMA.
CCM haiwezi kushirikiana na chama chenye sura ya udini.CCM wanakamilisha Jambo lao Kubwa sana hapo kupitia CCM B a.k.a ACT Wazalendo ili Kupanga Mkakati wa Kukiua na Kukizika kabisa CHADEMA.
Mbona ni kama kila mtu anajiona yeye ndo mpinzani kuliko mwingine?CCM wanakamilisha Jambo lao Kubwa sana hapo kupitia CCM B a.k.a ACT Wazalendo ili Kupanga Mkakati wa Kukiua na Kukizika kabisa CHADEMA.
Ikifa chadema kwa kiasi gani umaskini wako utaisha mijitu mingine nyie ni hasara kwa Taifa
Hivi namba moja kunawatu aliwatoa kafara?Labda macho yangu, mbona sioni tahadhani ya korona? au mwami naye anataka kuwatoa kafara wana ACT kama ambayo aliwahi mponda namba moja?
Naendelea na ujinga lakini si wanatoka na chadema kwenda ACT?endelea na ujinga
Juzi tu Zitto alikuwa analilia lockdown kupunguza misongamano ili kujikinga na Corona, leo hii awekusanya watu kiasi hicho. Kweli mwanasiasa si wa kumsikiliza
Kwani ikiwepo chadema yeye au wewe kipato chako kinaongezeka?Ikifa chadema kwa kiasi gani umaskini wako utaisha mijitu mingine nyie ni hasara kwa Taifa
Wabunge 21 wa Viti Maalum au Majimbo?!
Hawa jamaa kwa upande wa Visiwani wako vizuri, ila huku Bara wanatakiwa kufanya jambo na "wenzao"..
Hao jamaa walimtapeli Lipumba.