Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba: Kuna uwezekano mkubwa wa Mitandao ya Kijamii kuzimwa

Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba: Kuna uwezekano mkubwa wa Mitandao ya Kijamii kuzimwa

Nimekupata vizuri kiongozi
Nakupa bonus

Best VPNs for Mobile in August 2020

Try the best VPNs for mobile for free, on smartphone or tablet

Unblock US Netflix and other services and stream in HD/4K from anywhere

Hide your IP address and keep your online activity private

Enjoy unrestricted internet access with Android or iPhone

AD DISCLOSURE

1

Best VPN of 2020

[https://www]

9.8

Smooth and reliable mobile apps for iPhone and Android with excellent Wi-Fi protection

The most advanced VPN technology for ultra-fast HD/4K streaming - Netflix, BBC iPlayer, Amazon Prime, and more

70% OF OUR USERS CHOOSE EXPRESSVPN

VISIT WEBSITE




Jr[emoji769]
 
Hilo jambo nadhani litatokea. Na tayari nimekuja na wazo. Soma hapa Wazo: Kutumia njia mbadala kufikisha ujumbe kwa wananchi






Nifikishieni ujumbe kwa wahusika.
Hii mbinu rahisi haiwezi kufanyiwa figisu ya maagizo toka juu. Wala hakuna kigogo anayeweza kuizuia bluetooth au memory card kufanya kazi. Hakuna polisi wa kukamata bluetooth wala tcra wa kukamata memory card nchi nzima. Hata Tv zote na radio na mitandao ikigoma bluetooth na memory card itafikisha ujumbe hata mahali pasipo na mtandao au hata radio.[emoji1752][emoji1534][emoji1548]
 
Wakuu ndani ya Jamii forums...Wageni kwa wenyeji...ni vema tukajiandaa kabisa kisaikolojiia na ikibidi kuweza kabisa kuanza mchakato wa kuwa na plan B.

Kadiri fukuto la uchaguzi mkuu linavyoanza kupanda kuna viashiria vya kila aina kwamba kuna mamlaka hazipendi baadhi ya habari kuwafikia wananchi wengi....habari zitakazotoka ni zile tu zilizochujwa na ama la kuhaririwa na mamlaka husika

Tayari vyombo vya ndani vimeshapewa onyo na karipio la kurusha habari kutoka vyombo washirika nje ya nchi ...pamoja na kuathirika kimapato kwa hatua hiyo ...wananchi wataigeukia mitandao ya kijamii yenye nguvu kuliko hata hivyo vyombo rasmi vya habari

Sambamba na hilo tutegemee wakati wowote toka sasa bei za vifurushi vya kuperuzi mitandaoni vikizidi kubadilika na kuwa ghali zaidi...kama mnakumbuka zoezi kama hili lilifanyika kuelekea uchaguzi mkuu 2015 na kamwe hatukuwahi tena kurudishiwa ule unafuu wa data.

Hizi online tv na radio pia zijiandae na haya maumivu...Ilishatolewa tahadhari kubwa kwamba kila unachokifanya mitandaoni kinafuatiliwa kwa karibu sana...watu kidogo wamekuwa makini kwenye hilo...lakini sasa hilo kilikuwa cha mtoto tuuu...maumivu makali yanakuja.

Wito wangu kwa mamlaka husika: kwa heshima kuu naomba muwe na tafakuri jadidi kwenye hili...uhuru wa kupashana habari ni hitaji muhimu na la msingi kwa watu wote...hili husaidia kuepusha hatari nyingi....Fanyeni yote lakini chondechonde msije mkazima mitandao ya kijamii.

Uchaguzi wenye changamoto za ushindi kama huu huwa na fukuto kila upande na kwa kila mmoja....njia pekee ya kupoza hili fukuto ni kutoa uhuru watu waseme lakini bila kuvunja sheria...watu wakisema hupata nafuu kubwa ndani ya miili yao

Kuwazuia kusema ama kuwazuia kupata habari ni sawa na kuruhusu maji kuingia kwenye nyumba isiyo walau na upenyo wa maji kutoka......Matokeo yake ni uharibifu mkubwa

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake ili wote kwa umoja wetu tutambue kuna maisha baada ya uchaguzi..!!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Jr[emoji769]
Serikali hii itajichimbia kaburi ikijaribu kuzima mitandao, watu watachukua hatua nyingine mbadala zinazoweza kuwa na matokeo mabaya sana kwa watawala. Kwanza hadi sasa jumuiya ya kimataifa imeanza kuitazama serikali kwa jicho kali zaidi nimesikia kwenye vyombo vingi vya kimataifa kama DW, CNN, BBC jinsi wanavyozungumzia suala la kuzuiliwa kutangaza chochote Tz mpaka wapate ruhusa maalumu ya serikali. Yatakuja makubwa muda si muda. Najua dhambi humfunga mtu asione na kumwondolea hekima, na kupelekea kuanguka kwake, hayo ndio yanayoendelea kwasasa hapa.
 
Hiyo ni kweli wala usijisifie kuwa umetabiri mmmh, itakuwa tu.

Hivi telegram yaweza saidia au what else, sijui tutaishije gizani humo.

Please keep promise !
 
Hiyo ni kweli wala usijisifie kuwa umetabiri mmmh, itakuwa tu.

Hivi telegram yaweza saidia au what else, sijui tutaishije gizani humo.

Please keep promise !
I will keep promise ...my apology ...nilitingwa
 
A virtual private network (VPN) gives you online privacy and anonymity by creating a private network from a public internet connection. VPNs mask your internet protocol (IP) address so your online actions are virtually untraceableView attachment 1533302

Jr[emoji769]
Copy and paste. Hapa hujaelewesha wasiokuwa Wana IT.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Copy and paste. Hapa hujaelewesha wasiokuwa Wana IT.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Naomba kama una weledi juu ya hili uwaeleweshe tafadhali ...nimefanya part yangu kwa mhusika na amenielewa
300px-Site-to-Site_VPN_terminology-en.svg.jpg
 
Back
Top Bottom