Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo kama yatatokea naamini JF itakuwa ya kwanza kufungwa kwa kweli
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Wakuu ndani ya Jamii forums. Wageni kwa wenyeji ni vema tukajiandaa kabisa kisaikolojiia na ikibidi kuweza kabisa kuanza mchakato wa kuwa na plan B...
Jr
Walitaka waizime nayoJF haikubaki hewani kwa bahati mbaya..imepata mashambulizi 13,350...mpaka jana jioni lakini yote yakapigwa kipapai yakawa butu
Huyu aje ajibu leoAcha kutisha watu wewe, Watumiaji wa mitandao ni wachache kuliko wapiga kura,bado hamjaweza kuitisha serikali kwa kutumia mtandao
You can't imagine Brethren!....ninaishi jirani kabisa na unapoishi wewe na ninavyokufahamu sikutegemea utatoa maneno ya hovyo kiasi hiki...you are such a dumb jerk! unaishi dunia gani wewe kilaza?
JF haikubaki hewani kwa bahati mbaya..imepata mashambulizi 13,350...mpaka jana jioni lakini yote yakapigwa kipapai yakawa butu
Unadhani nini roho chafu kama nyie wauaji?Umri wenye amani. Karibu na kutukanwa matusi Nitukane ili roho yako itakasike