Pre GE2025 Kuelekea Uchaguzi Oktoba 2025, Ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia, utamshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Pre GE2025 Kuelekea Uchaguzi Oktoba 2025, Ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia, utamshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
 
Wa
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
1.Wapunguze bajeti za magari ya mamilion why 30% ya bajeti ni maendeleo na ilio bakia ni matumizi.

2.Kuna haja ya wabunge na watu wa serikalini kupunguza mishahara ili izo fedha ziende katika maendeleo.

3.Tuitenge siasa katika mambo ya kitaifa kusiwe na nafasi ya usiasa kwenye mikutano ya kitaifa.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

4.kwenye serikali kuweka watu ambao elimu akuna For example wabunge iwe ni kuanzia degree kuenda mbele ndio uingie bungeni uwe waziri Uwe na masters ya kitu husika cha wiazara yako atuwezi kuendelea kuwa na baadhi ya mawaziri ambao wamosomea ualimu alafu akasimamie Afya. So sad.
 
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
Asigombe uRais Tanganyika akagombee kwao Zanzibar.
 
Ningemshauri abadilishe mifumo ya uongozi..mfano chama na serikali viwetouti na visiingiliane katika maamuzi....awatoe chawa wote katika chama kwani hawana faida yeyote zaidi ya uchochezi...ningemng'ata sikio kwa kumuwambia zama za connection katika serikali zimeludi watoto wa walala hoi hawewezi kula mema ya nchi yao...kuna uzembe unaanza kujitokeza ndani ya serikali yako, mfano kukosekana kwa maji baadhi ya maeneo kukatika katika kwa umeme bila mpangilio...kuna vibarua wapo ndani ya serikali yako takribani miaka 9 mama ebu wafikirie hata kuwapa ajira ya kudumu kwani wanapitia manyanyaso na vitisho kwa mabosi wao eti wao n kama penseli tu wengine wanabambikizwa makesi ya ajabu ajabu...lakini pia mama unapofanya teuzi jaribu kuangalia na wasiokuwa maarufu kwani wengi wao wanaweza...ninamengi sana yakumshauri zaidi ya hayo kwa mustakabali wa taifa letu... ngoja niishie hapa.
 
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
Kwamba ajiuziru, awaachie Watanganyika watawale nchi yao wenyewe. Lazima nitamueleza jinsi Zenji inavyotunyonya.
Nitamfahamisha kwamba haiwezekani kakipande kaduchu ka muungani kawe na marais wawili, utitiri wa wabunge usiowiana na idadi yao wala eneo la hako kaeneo plus bado wana utitiri wa wajumbe wa baraza la wawakilishi literally almost kila mtaa una kiongozi wa kitaifa wanaokula kodi za wananchi.
 
Wa

1.Wapunguze bajeti za magari ya mamilion why 30% ya bajeti ni maendeleo na ilio bakia ni matumizi.

2.Kuna haja ya wabunge na watu wa serikalini kupunguza mishahara ili izo fedha ziende katika maendeleo.

3.Tuitenge siasa katika mambo ya kitaifa kusiwe na nafasi ya usiasa kwenye mikutano ya kitaifa.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

4.kwenye serikali kuweka watu ambao elimu akuna For example wabunge iwe ni kuanzia degree kuenda mbele ndio uingie bungeni uwe waziri Uwe na masters ya kitu husika cha wiazara yako atuwezi kuendelea kuwa na baadhi ya mawaziri ambao wamosomea ualimu alafu akasimamie Afya. So sad.

Akae kando. muda alioshikia nafasi watosha. Angalau rasilimali za Tanganyika zipumue
 
Nampenda sana,aishi sana
Ajitahidi tu kuwa makini au kuwaondoa machawa wote maana hao ndiyo maadui wake wanamwongoza kuharibu nchi.
 
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
Aangalie maeneo yanayoingiza pesa za kigeni kwenye vipau mbele vya maendeleo sababu ndio walipa deni la nje la pesa za kigeni

Nchi inakopa pesa za kigeni maeneo yanayoingiza pesa za kigeni yapewe kipaumbele kwenye maendeleo sababu ndio walipa hiyo mikopo

Binafsi naomba Raisi hii bajeti ijayo aweke kwenye bajeti barabara ya kule Mbeya ya kutoka Katumba pale wilaya ya Rungwe hadi Mwakaleli kule kunatoka gesi ya Tanzania Oxygen na Chai vinavyouzwa nje kuingiza pesa za kigeni lakini barabara toka uhuru imesahaulika sana tena mno

Raisi asisubiri awamu ijayo aiweke hiyo barabara ijengwe kiwango cha Lami bajeti hii inayosomwa june mwaka huu iwemo kwa kuwekwa kiwango cha lami

Si sahihi sana kupeleka barabara nzuri kwa watu wa mijini na kuacha walipa hayo madeni ya nje kwa wanavyozalisha kuuza nje kama hao wa eneo kuanzia Katumba Rungwe hadi Mwakaleli
 
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
Kwanza ningemshauri amalize kadhia za wafanyakazi waliobambikiwa kesi kisha wakafukuzwa kazi na hata kesi zao zilipofutwa waajiri walikataa kuwarudisha kazini bila sababu ya msingi. Hii ni changamoto ambayo inasumbua wafanyakazi wengi wa umma na malalamiko yao yanapuuzwa
 
Ninamshauri mwenza wake,awe anatembelea hata vituo vya yatima na wajane,awasalimie na kuwaona kama sehemu ya Watanzania wanaohitaji misaada ,kuliko hali ilivyo sasa,anajificha,haongei Wala haonekani popote! Au tusema Rais in Single mother?
 
Ningetamani kumshauri lakin pindi nikikumbuka kua Rais wangu hashauriki, ni bora muda wa kumshauri niutimie kufanya mambo mengine tu.
 
Wadau za leo, Kama kichwa cha habari kinavyoelezea na kuuliza wewe Mtanzania kutokana na changamoto unazopitia au kuziona katika jamii yako leo, Je, katika kipindi hiki kuelekea katika Uchaguzi wa Awamu ya Sita hapo Oktoba 2025, ukipata nafasi ya kumshauri Rais Samia Suluhu ungemshauri kitu gani kwa manufaa ya nchi?

Je, ungependa akiingia madarakani baada ya uchaguzi ni vitu gani avipe kipaumbele? (First Priorty)

Mawazo yako yana mchango mkubwa katika nchi hii, usijidharau yawezekana Rais na yeye yumo humu sema ndio hujui username yake

Twende Kazi.
Nitamshauri asigombee maana hana uwezo
 
Ninamshauri mwenza wake,awe anatembelea hata vituo vya yatima na wajane,awasalimie na kuwaona kama sehemu ya Watanzania wanaohitaji misaada ,kuliko hali ilivyo sasa,anajificha,haongei Wala haonekani popote! Au tusema Rais in Single mother?
Ukisikia mtu anafeli mtihani kirahisi wewe umo

Mleta mada anataka umshauri Raisi wewe unataka kumshauri makamu wa Raisi cha kufanya

Una kichwa kibovu sana
 
1.Utekaji na mauaji yenye mlengo wa kisiasa. Na kufanya sisi wanachama wa CCM kujiona ni watu bora kuliko wale wa vyama vingine.
2.Katiba mpya.
3. Katiba mpya
4.Katiba mpya.
5.Katiba mpya.
6.Katiba mpya
7.Katiba mpya
8.Katiba mpya
9.Katiba mpya
10.Katiba mpya.
 
Back
Top Bottom