Ninafahamu Uchaguzi unapofanyika wenye wajibu wa kutenda haki ni Tume Serikali na vyombo vya dola na wala siyo CCM yakulaumiwa.
Ebu safari hii fuateni maelekezo ya Amir Jeshi Mkuu wenu Samia Hassan aliyoyatoa na yamejificha kwenye 4R.
Pia zingatieni maoni ya Kikwete kwenye Hotuba yake Ya Mkutano Mkuu Dodoma ya CCM kutotegemea vyombo vya dola kwenye chaguzi zote. ina mwisho wake.
Ebu safari hii fuateni maelekezo ya Amir Jeshi Mkuu wenu Samia Hassan aliyoyatoa na yamejificha kwenye 4R.
Pia zingatieni maoni ya Kikwete kwenye Hotuba yake Ya Mkutano Mkuu Dodoma ya CCM kutotegemea vyombo vya dola kwenye chaguzi zote. ina mwisho wake.