Watanzani wana msubiria bekaboy aweke mp3 wakadownload na kukimbizana youtube waongeza view,zaidi ya hapo hamna support yoyote wanayotoa.Watanzania uzalendo hakuna,bora auze huko tu kwanza ndo wanamoyo wakununua,lakini bongo pirate kibao,unatoa Album cku moja tu washaanza kuiburn..tunasikitisha sana wabongo.
wabongo wengi ni wachawi wanachokosa ni vifaa tu haswa vjanaKweli kabisa Mkuu kwani naona safar com wameishika hii event vilivyo na sasa naona kmpuni ya kitalii nayo imekuja kunogesha zaidi.
Hata hiyo Texas Cancer centre wanatumia fursa. Wacha sie tulale tukiamka tutaanza kulaumu wakenya kwa kupora rasilimali zetu kama mlima Kilimanjaro, Huyo Diamond nk. Hapa nakumbuka issue ya Mrisho mpoto huko London alivyowakilisha Kenya vema badala ya Tanzania.
Fact!wabongo wengi ni wachawi wanachokosa ni vifaa tu haswa vjana
Nimecheka hapo uliposema wanapambana kwa hali na mali kuhakikisha jamaa anapotea mazima hahahaNabii hakubariki kwao...wakenya wajanja sana kwenye fursa wao wameiona fursa safaricom na makampun mengine yameweka pesa nyingi kwenye hiyo event.
sisi watz tunapambana kuakikisha huyu jamaa anapotea mazima ata kama haitatunufaisha ila roho za kiswahili zimetujaa.
Hahahaha hahaha kijana wa kitanzania ana chuki na mafanikio.ya wengineTumekalia majungu,roho mbaya,wivu na fitina ,ila ninachosikitika zaidi wenye tabia hizo ni vijana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Watanzani wana msubiria bekaboy aweke mp3 wakadownload na kukimbizana youtube waongeza view,zaidi ya hapo hamna support yoyote wanayotoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo tuko busy mahakamani, subirini kwanza tuwafunge wanaomsema vibaya Msukuma na serikali yake wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona hii thread hamuitendei haki mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wabongo wengi ni wachawi wanachokosa ni vifaa tu haswa vjana
Vijana na wasomiTumekalia majungu,roho mbaya,wivu na fitina ,ila ninachosikitika zaidi wenye tabia hizo ni vijana.
Jana kuna jamaa yangu Mkenya alivyokiwa anasifia diamond kuzindua album Kenya.. Diamond anapendwa sana Kenya..sisi wakina ruge wanataka kutuaminisha wasanii wao..mchawi wa kwanza rugeKwa Nini Diamond amechagua kwenda Kenya kuzindua na kusikilizwa kwa album yake kwa mara vya kwanza. Pia Wakenya wameitumia vema fursa hiyo kwa kampuni za biashara kujitokeza kwa issue za Biashara. Sisi watanzania bado Tunaendelea kulala. Hongera Diamond Piga kazi.
Lakin jamaa hafanyi show za ndaniKwa Nini Diamond amechagua kwenda Kenya kuzindua na kusikilizwa kwa album yake kwa mara vya kwanza. Pia Wakenya wameitumia vema fursa hiyo kwa kampuni za biashara kujitokeza kwa issue za Biashara. Sisi watanzania bado Tunaendelea kulala. Hongera Diamond Piga kazi.