Kwa Nini Diamond amechagua kwenda Kenya kuzindua na kusikilizwa kwa album yake kwa mara vya kwanza. Pia Wakenya wameitumia vema fursa hiyo kwa kampuni za biashara kujitokeza kwa issue za Biashara. Sisi watanzania bado Tunaendelea kulala. Hongera Diamond Piga kazi.