nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Nabii asiyefanya unabii kwao. Eti hafanyi show za ndani alafu mnashangaa kuzindulia album kenyaNabii hakubariki kwao...wakenya wajanja sana kwenye fursa wao wameiona fursa safaricom na makampun mengine yameweka pesa nyingi kwenye hiyo event.
sisi watz tunapambana kuakikisha huyu jamaa anapotea mazima ata kama haitatunufaisha ila roho za kiswahili zimetujaa.