Kuendelea kumtaja Hayati Magufuli kwa mabaya ni upuuzi wa ajabu

Uchaguzi ujao atolewe tu hana jipya
Tunaongozwa na mpuuzi asiyejua lolote ndiomaana wanaomuzunguka wanafanya wayatakaoyo, mtu alikuwa msambaza chai maofisini ataweza nini kwenye nafasi kubwa kama hiyo?
Tunaongozwa na mpuuzi asiyejua lolote ndiomaana wanaomuzunguka wanafanya wayatakaoyo, mtu alikuwa msambaza chai maofisini ataweza nini kwenye nafasi kubwa kama hiyo?
 
Mbona JK hamumsemi,chini ya utawala wake Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi aliuwawa kinyama na Polisi bila kusahau Mabomu ya Mbagala yaliua watu kibao kwa uzembe wa utawala wa JK.Achilia mbali vijana waliofariki kwa madawa ya kulevya!
Au Aya kwenu ni mema?
 
Ingekuwa wewe ndiye uliyepigwa Risasi thealthini,Mtoto wako alipotezwa, Ndugu zako waliuawa(Baba au mama yako) ulibomolewa nyumba yako Morogoro Road bila kulipwa hata mia nazani ungekuwa unamlaani milele hata kama amekufa
Aya yote JK alifanya katika utawala wake mbona hamumsemi?
 
Wewe ndo punguani kweli... kwani mbona tunasoma habari za kina Kinjekitile ngwale, chief mkwawa et al...hawafa? Vita vya dunia na kina Hitler, Mussolin tunawasoma na kuwajadili kwanini
Tuache kujifunza kutoka uovu wa huyu nduli relevant kabisa kwa kizazi hiki nawatu wajue katiba ni muhimu maana manduli bado wapo tena wengine wanajidai waumini wema.
Acha tumjadili na elimu isambae kama hupendi usisome habari zake lkn jua nifunzo kuuubwa tunalipata kwake. We pumzika kivyako
 
Maovu mengine ya kuchonga eti alinyonga , alitesa na kuua ukiiliza aliua nani .anakuambia saane azory gwanda .kunzia kipindi cha nyerere hadi leo je amna aliyewahi kupotea huku nyumba kama akina jumbe
 
Aya yote JK alifanya katika utawala wake mbona hamumsemi?
Nchi hii nikama mbao inayotafunwa namchwa.Au chuma kinacholiwa na kutu huku tukishuhudia kwa macho Yetu Kama hatuoni kilichotokea au kinacho endelea nachojua tunawatawala wanao tawaliwa.
Dalali Mkuu February Ulisema tuonane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…