Tunaongozwa na mpuuzi asiyejua lolote ndiomaana wanaomuzunguka wanafanya wayatakaoyo, mtu alikuwa msambaza chai maofisini ataweza nini kwenye nafasi kubwa kama hiyo?
Tunaongozwa na mpuuzi asiyejua lolote ndiomaana wanaomuzunguka wanafanya wayatakaoyo, mtu alikuwa msambaza chai maofisini ataweza nini kwenye nafasi kubwa kama hiyo?
Mbona JK hamumsemi,chini ya utawala wake Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi aliuwawa kinyama na Polisi bila kusahau Mabomu ya Mbagala yaliua watu kibao kwa uzembe wa utawala wa JK.Achilia mbali vijana waliofariki kwa madawa ya kulevya!Wewe endelea na makala za kuelimisha vijana na mahusiano upo vizuri, huku tuache wenyewe huna upako huo.
Magufuli tutaendelea kumsema Kwa maovu aliyowatendea Watanzania tangu kuumbwa Kwa ulimwengu huu, udikteta na utawala wa mkono wa chuma tulikuwa tunausikia tu Kwa wenzetu na kusoma kwenye historia, lakini yule Mrundi wa Chato akaja kutuonesha dhahiri.
Hadithi kama hii usithubutu kwenda kuiogea kwenye familia ya Ben Saanane utakimbizwa na mashoka.
Hebu tuache, huyu tunaye liwe fundisho Kwa waovu wote kwamba ukiishi Kwa Ubaya utasemwa daima Kwa Mabaya yako na mema yako tutayasahau.
Imagine Profesa mzima Kabudi leo anatuambia eti yeye na Magufuli walitudanganya kuhusu pesa za Makinikia halafu unataka tukae kimya?
Aya yote JK alifanya katika utawala wake mbona hamumsemi?Ingekuwa wewe ndiye uliyepigwa Risasi thealthini,Mtoto wako alipotezwa, Ndugu zako waliuawa(Baba au mama yako) ulibomolewa nyumba yako Morogoro Road bila kulipwa hata mia nazani ungekuwa unamlaani milele hata kama amekufa
Wewe ndo punguani kweli... kwani mbona tunasoma habari za kina Kinjekitile ngwale, chief mkwawa et al...hawafa? Vita vya dunia na kina Hitler, Mussolin tunawasoma na kuwajadili kwaniniAnaandika, Robert Heriel
Sikuwa mshabiki wa Magufuli Kutokana na namna alivyokuwa anaongoza, sisemi Kuwa Magufuli hakuwa na mambo Mema aliyoyafanya, yapo mengi mazuri Sana hasa ya miundombinu, lakini pia yapo Mabaya ambayo aidha aliyafanya au kuyafumbia macho, ambayo ndio yalinifanya nimuone kama kiongozi asiyefaa.
Ninashangazwa na kile kinachoendelea hasa Kwa upande wa Upinzani kuendelea kumtaja taja MTU ambaye tayari anasiku nyingi ameshafariki.
Wabaya Waliohai wapo wengi, Kwa nini mhangaike na Watu waliokwisha Kufa wasio na chochote cha kuchangia katika Ulimwengu wa Waliohai? Wema Waliohai pia wapo wengi.
Hatuwezi kuongoza nchi Kwa kuangalia Wafu, na hatutataka nchi yetu iongozwe na watu wenye mawazo na Matendo ya Wafu.
Tunahitaji viongozi ambao wanaongoza nchi Kwa kuangalia Maisha ya kizazi kijacho kitaishije,
Nchi inaongozwa Kwa mahitaji yajayo sio mahitaji yaliyopita. Nchi inaongozwa Kwa maslahi ya Watu wa kesho sio Kwa maslahi ya Watu wa Jana na juzi waliokwisha Kufa.
Wanaoishi Wasiwe watumwa wa Wafu, Watu waliokwisha Kufa. Hivyo ndivyo taifa hili linapaswa kujengwa na kuongozwa. Kwa sababu tunaenda Mbele na sio Nyuma.
Sijui Fulani alikuwa Nani akasema nini, hiyo haina maana yoyote Kwa wakati au kizazi kijacho, kitakachoangaliwa ni manufaa ya kizazi kijacho.
Hata Mungu tunayemuabudu ni MUNGU aliyehai na Mungu wa Waliohai sio Mungu wa Wafu.
Wanasiasa mnaomtaja taja Magufuli Kwa ubaya mnayohaja ya kujitafakari, kama mnaagenda zenu za Siri Sawa lakini eleweni kuwa haitasaidia Jambo LOLOTE lile.
Acha nipumzike SASA.
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Makanya, Same, Kilimanjaro.
Kikwete ni mtu mwema ndio maana hajafa yupo hai hadi sasa.Aya yote JK alifanya katika utawala wake mbona hamumsemi?
Kapumzika tu....Magufuli alikuwa ni shetani mwenye hicho moja. Muangalie hapa kwenye mawe anafanya nini?View attachment 2514309
Shetani kiasili ni malaika maana hakuna kiumbe kilichoumbwa kikaitwa shetani, na Magufuli alisema ataenda kuwa kiongozi wa malaika.Magufuli alikuwa ni shetani mwenye hicho moja. Muangalie hapa kwenye mawe anafanya nini?View attachment 2514309
HiiiiiiiiiiiiiiShetani kiasili ni malaika maana hakuna kiumbe kilichoumbwa kikaitwa shetani, na Magufuli alisema ataenda kuwa kiongozi wa malaika.
Kwani yeye ni kenge mpaka apumzike kwenye mawe?Kapumzika tu....
Uko too emotional mkuu, usiwe na mtazamo hasi kwa kila kitu.Kwani yeye ni kenge mpaka apumzike kwenye mawe?
Mseme weweAya yote JK alifanya katika utawala wake mbona hamumsemi?
Maovu mengine ya kuchonga eti alinyonga , alitesa na kuua ukiiliza aliua nani .anakuambia saane azory gwanda .kunzia kipindi cha nyerere hadi leo je amna aliyewahi kupotea huku nyumba kama akina jumbeKwahiyo umekubali hoja ya mleta mada kwamba mmeng'ang'ania kueleza maovu ya mtu aliyekufa kwa sababu ya hisia zenu tu ila hakuna faida kuzungumzia maovu ya mtu aliyekufa hayupo tena na kuacha kuzungumzia waovu waliyo hai ambao bado wanaendelea kutenda maovu?
Nchi hii nikama mbao inayotafunwa namchwa.Au chuma kinacholiwa na kutu huku tukishuhudia kwa macho Yetu Kama hatuoni kilichotokea au kinacho endelea nachojua tunawatawala wanao tawaliwa.Aya yote JK alifanya katika utawala wake mbona hamumsemi?