Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Sijui kama niko sawa ninachokiona kwenye soko la hisa la Dar es salaam kwamba tangia mwaka 2015 soko hili limeenda likishukaa taratibu nikimaanisha bei za share za makumpuni karibia yote. Yaani share nyingi zilikuwa kwa kiwango cha juu mwaka 2014. Baada ya apo zimeenda zikiporomoka kila mwaka.
Mfano;
Hii inashiria nini kwenye uchumi unaosemwani wakati?
Kwa uwezo wangu mdogo nafikira ni kwamba watu wamekosa imani ya kuwekeza katika inchi, wewe jee?
Mfano;
| kampuni | Bei ya share moja mwaka 2014 | Bei ya share moja Mwaka 2021 |
| swala | 1,900 | 490 |
| NMB | 4,700 | 2,340 |
| TBL | 18,000 | 10,900 |
| CRDB | 500 | 205 |
| TPCC | 4,500 | 2,500 |
Hii inashiria nini kwenye uchumi unaosemwani wakati?
Kwa uwezo wangu mdogo nafikira ni kwamba watu wamekosa imani ya kuwekeza katika inchi, wewe jee?