BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Mwanaume Mateso mwezi wa 8 huu sijaitia machoni ATM card yangu ipo kwa mkopeshaji nilikopa laki mbili kwa riba ya elfu sitini sijafanikiwa kulipa deni nalipa riba ya elfu sitini kila mwezi. Huku kunaitwa kuishi kwa hasara.
Salary 250000 per month
Matumizi
Rent 40,000
Food 100,000
Electricity 5000
Transportation 30,000
Emergency inaweza kuzidi kipato
Other expenses 50,000
Loans 100000
Total 320,000
320,000-250,000=70,000
Sasa kwa maisha haya nguvu za kiume zitapatikana wapi? Zaidi ya kwa mganga.
Salary 250000 per month
Matumizi
Rent 40,000
Food 100,000
Electricity 5000
Transportation 30,000
Emergency inaweza kuzidi kipato
Other expenses 50,000
Loans 100000
Total 320,000
320,000-250,000=70,000
Sasa kwa maisha haya nguvu za kiume zitapatikana wapi? Zaidi ya kwa mganga.