Sawa nakubali hongera ww unaemiliki gari kubwa na zuri ipo siku tutaongea lugha moja
Personally nilifundishwa na nikaambiwa kua kuendesha automatic car kwa mguu mmoja ndio big deal ila nilivoingia road nikajaribu kitumia miguu yote yaan let kwenye brake na right kwenye accelerator.... nilikuja kuona naenjoy zaidi kuendesha kwa miguu yote na nakua more active plus unmeasurable comfortability.Hata mimi hivyo hivyo nikishika kwa mikono miwili nakuwa siko comfortable, halafu mbaya zaidi ninaendesha kwa miguu miwili hata automatic mguu wa kushoto ndo unashika brake wanasema ni risk lakini nikijaribu acha nikatumia wa kulia nashindwa. Ni mwaka wa 12 sasa na sijawahi pata ajali.
Huo mkono mmoja unakuwa unaupigia punyeto wakati unadrive
Jomba usichukulie kila kitu serious hapa JF,utakuja kupata vidonda vya tumbo bure,wengine wapo kiutani zaidi,kuna comments zimezoeleka hapa Jf na mojawapo ni hiyo yakumwambia mtu "Hongera kwa kumiliki Gari"Gari ni basic need.
Mtu kushangaa mwingine kumiliki gari ni ushamba pia.
Jamani!Huo mkono mmoja unakuwa unaupigia punyeto wakati unadrive
Unapenda kuniumbua. Sasa ole wako ukipitishe ki Hyundai chako mitaa ya Bunju. Ntakigonga na trekta langu nikiwa napiga reverse... ndo utajua kwanini maharage ni kiungo cha makandeYa Paula ni 2015 hyundai elantra na 2010 Volkswagen. Hizi bado si mikono miwili?
Phonex,avon au swala mzee baba?Hata mimi ile baiskeli yangu ya Kuchaji huwa natumia mkono mmoja tu muda mwingine naachia kabsa[emoji2211][emoji2211]
Phonex,avon au swala mzee baba?
Mimi niko na Avon mkuu.
Nimecheka sana mimi.Unapenda kuniumbua. Sasa ole wako ukipitishe ki Hyundai chako mitaa ya Bunju. Ntakigonga na trekta langu nikiwa napiga reverse... ndo utajua kwanini maharage ni kiungo cha makande
Hapana. Nafanya makusudi tu ili tugawane umasikini.Nimecheka sana mimi.
Kwani Tractor linaruhusiwa kupita barabara moja ni "magari"? .
Nisamehe mimi. Yangu ni 2006 Honda civic tu.Hapana. Nafanya makusudi tu ili tugawane umasikini.
Jamani... naomba lift basi . Nakuahidi ntakuwa nakusaidia kupiga honi napoona wapambe hawaniangalii...Nisamehe mimi. Yangu ni 2006 Honda civic tu.
Mwenye hii hua anaendesha kwa mitatu arifu.Kuendesha na mkono mmoja ni kujifanya unajua sana au? Ukila mzinga utashikilia kwa mikono miwili kwa makini.
😂😂Dahhhh...
Hapo ndipo unanichanganya zaidi kwa kiyoriyori, walker babe na Uber pia ni gari za mjapani kwani...[emoji848][emoji848]
Alafu mkuu ebu punguza dharau kwanza... Maana hiyo 3,500,0000 kwetu ni mkasi wa kujadiliwa na familia nzima ndipo iweze kutumika..