Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu! Hii ya kuendeshea miguu miwili hata me ndivo nilivyo! Nimejaribu kuacha nimeshindwa.Hata mimi hivyo hivyo nikishika kwa mikono miwili nakuwa siko comfortable, halafu mbaya zaidi ninaendesha kwa miguu miwili hata automatic mguu wa kushoto ndo unashika brake wanasema ni risk lakini nikijaribu acha nikatumia wa kulia nashindwa. Ni mwaka wa 12 sasa na sijawahi pata ajali.
Mkuu? Me sioni. Just ni kuzoea tu!Ahhh ila nihatar [emoji28]
Acha ni hatari kuna dharula unaeza jikuta umekandamiza zoteMkuu? Me sioni. Just ni kuzoea tu!
Na watoto wazuri unapata japo huna chuma ya mjep😃😃😃😃Duhhhh......
Humu ndani naona nimimi tu ndie sijamiliki chuma hapa mjini...[emoji849][emoji849]
Nawewe naomba nikupe pongezi mkuu...
Kila nikiwazoza wanachomoa chief, ebu naomba unipe mbinu za kuwamiliki hawa viumbe aiseeeeNa watoto wazuri unapata japo huna chuma ya mjep[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Inabidi kupata pindi kutoka kwa wanasiasa.. 😄😄. Umeona maneno ya wanasiasa yanavyo rubuni.Kila nikiwazoza wanachomoa chief, ebu naomba unipe mbinu za kuwamiliki hawa viumbe aiseeee
Hoja ya msingi!!Acha ni hatari kuna dharula unaeza jikuta umekandamiza zote