kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Ni sawa na jingine kuendesha Gari ukiwa umevaa ushungi ni kosa ingawa wengi siku hizi hawajaliNi kosa, na lipo kisheria kabisa. Kwa sababu wakati unakanyaga brake/ clutch au accelerator mguu unaweza ukatoka kwenye sandali na kusababisha ajali.
Yes ni kosa. Ngoja nikutafitie kifungu!Wakuu salama za sikukuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nimetoka zangu gereji naingia tu. Main road hapa maeneo ya mianzini. Nikasimamishwa na traffic. Kaanza na mambo yambo yake, naomba leseni yako, nikampatia. Akanibambikia makosa yake kaanza eti naongea na simu nikalichomoa,
kubwa kuliko akaniambia naendesha nikiwa nimevaa sandles (nimevaa viatu vyisivyo na kamba ya nyuma).
kanikomalia hapo, afu hapo faini ya 30 sina.
Nikabembeleza balaa.
Jamani naomba kuuliza eti ni kosa kuendesha gari ukiwa umevaa sandles.
Wenye ujuzi wa makosa ya barabarani. Hili nalo lipo kwenye list.
Kuna sheria na kanuni za sheria, hilo la simu lipo ktk kanuni za sheria ya usalama barabaraniHiyo ya kuongea na simu ungemwambia akusomee kipengele cha sheria kinachosema usiendeshe huku unaongea na simu, angefungua mafaili yote hakikuti. Inashauriwa usiendeshe huku unaongea na simu lakini hakuna sheria inayokataza. Ushauri unaweza kuukubali au kuukataa. Wakati sheria inatungwa simu hazikuwepo
Udikiteita huo. Hakuna athali za kuvaa sandal unatembea zako barabarani, ila kwenye gari kuna traffic safety implications wakati wa kuweka gear. Huwa sandal zinanasa kwenye clutch or accelerator pedals! !Kwa swali lako bila shaka hiyo leseni uliipata ukiwa Garage.
FYI sandal sio sehemu ya vazi rasmi sehemu yoyote. Wala sio vazi la kufanyia shughuli yoyote isipokuwa kuogea
Katika jiji LA Kigali uukionekana na Sandal mtaani unapata adhabu Kali.
Sheria ya SUMATRA la simuKuna sheria na kanuni za sheria, hilo la simu lipo ktk kanuni za sheria ya usalama barabarani
mkuu samahani ni hawa hapa kilimani boko magengeni????Wakuu salama za sikukuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nimetoka zangu gereji naingia tu. Main road hapa maeneo ya mianzini. Nikasimamishwa na traffic. Kaanza na mambo yambo yake, naomba leseni yako, nikampatia. Akanibambikia makosa yake kaanza eti naongea na simu nikalichomoa,
kubwa kuliko akaniambia naendesha nikiwa nimevaa sandles (nimevaa viatu vyisivyo na kamba ya nyuma).
kanikomalia hapo, afu hapo faini ya 30 sina.
Nikabembeleza balaa.
Jamani naomba kuuliza eti ni kosa kuendesha gari ukiwa umevaa sandles.
Wenye ujuzi wa makosa ya barabarani. Hili nalo lipo kwenye list.