Kuendesha gari na sandles kwa traffic ni kosa?

Afu niliinote ile namba yake na akachukua 10 yangu.
 
Ni kosa, na lipo kisheria kabisa. Kwa sababu wakati unakanyaga brake/ clutch au accelerator mguu unaweza ukatoka kwenye sandali na kusababisha ajali.
Dah ndugu imenitokea mimi iyo kitu mwaka jana nilikanya ecceletor na sandle ghafla nataka kusimama si unajua auto gari ya kijinga mguu ukatoka ila sandle ikabaki na kwakua nilikua nimekanyaga kwenye kisigino basi brake nilivyokanyaga ndo nikawa nachochea mafuta nikamgusa nyuma ya canter niliumia mwenyewe lkn kesi ikaisha kibingwa sandle noma
 
Sijui kisheria kuhusu hili ila kiusalama nadhani sio vizuri kwa sandles. Ilishanikuta sandle ilinasa bado nikashindwa kutoa mguu kuweka kwenye brake ni bahati tu
Ha hili ndilo kosa kubwa kwa nini sandle haziruhusiwi kuvaliwa wakati unaendesha gari.
Unaweza tokea tukio la haraka litakalo kulazimisha utoe mguu kwenye accelerator uende kwenye been, lakini bahati mbaya sandle huwa inatabia ya kushuka chini, kitakachotokea utababatiza mguu kwenye moto tena wakati ulitakiwa upeleke mguu kwenye brake. In shoti sandle inaondoa confortatability ya miguu au mguu kuwasiliana na zile button huko chini vizuri.
 
Ni kweli kabisa mkuu, driving a car is a skill and not a matter of experience.
Umenifurahisha sana eti ukishajua kuweka D na R unajiona dereva. Kaazi kweli kweli.
 
Your username "John Q" is my favourite movie from D. Washington.

Ni kosa kisheria kuendesha gari na Sandles. Kama huna viatu bora uendeshe peku.
Kuwekana vizuri tuu...ni sandals wakuu, na si sandles. Haya tuendelee....
 
Mwenye sheria na kanuni za barabara aziweke hapa tujikumbushe
 
Reactions: bbc
Huruhusiwi kuendesha gari au chombo chochote cha usafiri ukiwa umevaa kiatu cha wazi kisicho na na kamba ya kukishikilia nyuma ,kifupi sandals haziruhusiwi kabisa
 
Huruhusiwi kuendesha gari au chombo chochote cha usafiri ukiwa umevaa kiatu cha wazi kisicho na na kamba ya kukishikilia nyuma ,kifupi sandals haziruhusiwi kabisa
Mkuu.
Nashukuru kwa taarifa.

Uwe na siku njema
 
ni kosa mkuu pia kwa usalama wako we mwenyewe ndala mara nyingi huwa zinang'ang'ania kwenye pedal
 
J
je ni nikiendesha peku nalo ni kosa?
 
Reactions: bbc
Leseni umepataje ww? Hujui hata sheria za dereva?
 
But sandles znaruhusiwa Kama zina mikanda nyuma ya kisigino
 
Hajakuonea ni kosa, tena afadhali uendeshe pekupeku kuliko kuvaa kandambili.
Mantiki ya hii sheria ni kuwa kobazi isiyo na mkanda nyuma inaweza kuteleza wakati muhimu unapotuhitajika kutekeleza tendo la dharura hivyo ikakuzuia. Katika hali hiyo uwezekano wa kusababisha ajali ni mkubwa.
Kuendesha pekupeku japo sio kosa ila natari pia maana unaweza kuchomwa na kitu chenye ncha kali wakati unataka kukanyaga breki za ghafla. Hapo sijui kama utanyanyua mguu kama ambavyo wengi tunafanya au utaendelea kukanyaga breki kwa nguvu huku mwimba au msumari ukizidi kuingia mguuni?
 
Sio Sandals tu pia kuendesha gari huku umevua viatu na kuviweka chini kwenye carpet karibu na hizo pedals ni kosa maana unaweza kupata dharura unahitaji kukanyaga brake ukaki push Kiatu chini ya pedal ukashindwa kukanyaga brake na ikawa disaster!
 
kitega uchumi cha taifa hiko mkuu... hkuna utan..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…