MeWewe ni Me au Ke
Siyakukothamela Sonini na nini
We nenda utajua huko hukoWana MMU nataka kwenda kosoma driving one month. Je kurndesha gari ni kitu kigumu?
Na je mitihani ya huko ni migumu? Maana wakati naenda kujiunga nilikuta watu wanafanya mtihani na kama mnavyojua kwenye vyumba vya mtihani mara nikasikia we mzee toka apo njoo kaa hapa mara wewe kijana wewe. Inamaana hiyo mitihani ni migumu kiasi cha watu kuibia?
Maoni yenu muhimu