Wana MMU nataka kwenda kosoma driving one month. Je kurndesha gari ni kitu kigumu?
Na je mitihani ya huko ni migumu? Maana wakati naenda kujiunga nilikuta watubwanafanya mtihani na kama mnavyojua kwenye vyumba vya mtihani mara nikasikia we mzee toka apo njoo kaa hapa mara wewe kijana wewe. Inamaana hiyo mitihani ni migumu kiasi cha watu kuibia?
Maoni yenu muhimu
Na je mitihani ya huko ni migumu? Maana wakati naenda kujiunga nilikuta watubwanafanya mtihani na kama mnavyojua kwenye vyumba vya mtihani mara nikasikia we mzee toka apo njoo kaa hapa mara wewe kijana wewe. Inamaana hiyo mitihani ni migumu kiasi cha watu kuibia?
Maoni yenu muhimu