Kuendesha magari kushoto ni moja ya hasara tuliyoachiwa na mkoloni.

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.

Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.


 

Sio tu kuendesha kushoto. Kwani punda tulikuwa tunaendeshaje? Sema hata magari ni hasara waliotuachia wakoloni.
Sisi tuliwa na TZ11 zetu tumewaachia wamasai.
 
Rais Kagame yeye alipongia madarakani akaitoa Rwanda iliyokuwa inatumia RHT (right hand traffic) system iliyoachwa na mfaransa akaamua kugeuza na kutumia ya Muingereza ya LHT kwa madai ufaransa ilisababisha mauaji ya kmbali ya Rwanda 1994 hivyo akafuta kila kitu kilichoachwa na Mfaransa kuanzia Road traffic system mpaka lugha ya kufundishia Mashuleni aka drop French na kutumia English
 
One those minor things in the world. You can't take ownership of somebody else's discovery. kwahiyo kuna mambo tuwe wapole tu
 
Alifanya vzur hasa hapo kwenye lugha,sio kama huyu ndugu yetu yeye akaamua kutuletea kiswahili
 
Hii ni faida, sababu hatuna ushindani mkubwa katika ununuzi wa magari..
 
Mbona magari ya LHD yanatumika?
 
Rwanda na burundi hadi kesho bado wanaendesha kwa kutumia upande wa kulia wa barabara, na gari zao ni left hand drive.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…