Kuendesha magari kushoto ni moja ya hasara tuliyoachiwa na mkoloni.

Kuendesha magari kushoto ni moja ya hasara tuliyoachiwa na mkoloni.

Hii ni faida, sababu hatuna ushindani mkubwa katika ununuzi wa magari..
Hayapo mengi ukilinganisha na wahitaji. Asilimia 75 ya watu wanatumia magari RHD. Kwa sisi wanunua used ni nchi ya Japan pekee ndiye mtengenezaji na mtumiaji wa maana, na UK kidogo ndiyo tunaweza kimbilia. Ingekuwa kinyume chake tungepata used kutoka US, Germany, France, China nk nk.
 
Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.

Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.


View attachment 3100640
Hayawezi kuadimika hata ikitokea hivyo ni fursa hiyo tutafungua workshop za conversion LHD ➡️ RHD
 
Na
Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.

Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.


View attachment 3100640
Naona Japan ni WA blue, na tuna uhakika na haya magari.

Toyota
Nissan
Subaru
Mitsubishi
Mazda
Suzuki

Pia muingereza ambae katupa huo mfumo, tuna uhakika na haya magari

Jaguar
Land lovers
Bentley
Rolls Royce
Ineos Granadier
 
Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.

Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.


View attachment 3100640
Wote uliowataja, wanatengeneza magari yao. Je si wakati muafaka basi tukatengeneza yetu ili kuepuka hiyo hasara?
 
Wote uliowataja, wanatengeneza magari yao. Je si wakati muafaka basi tukatengeneza yetu ili kuepuka hiyo hasara?
Ni malengo mazuri sana. Tuanze hata na bajaji.
 
So siyo wote waliotawaliwa na Uingereza wanaendesha kushoto. Kuna sababu nyingine kwa nini nchi zinaendesha kushoto au kulia.
Wengi waliotawaliwq na muingereza walibaki na RHD ila wengine walihamia LHD kutokana na ukanda waliopo kubase zaidi kwenye LHD mfano Nigeria na Ghana
 
Kwani uingereza yeye anaendeshea wapi kulia au kushoto
 
Back
Top Bottom