CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
kazi kweli kweli, taifa la bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili ujinga mtupu!Alifanya vzur hasa hapo kwenye lugha,sio kama huyu ndugu yetu yeye akaamua kutuletea kiswahili
Hayapo mengi ukilinganisha na wahitaji. Asilimia 75 ya watu wanatumia magari RHD. Kwa sisi wanunua used ni nchi ya Japan pekee ndiye mtengenezaji na mtumiaji wa maana, na UK kidogo ndiyo tunaweza kimbilia. Ingekuwa kinyume chake tungepata used kutoka US, Germany, France, China nk nk.Hii ni faida, sababu hatuna ushindani mkubwa katika ununuzi wa magari..
Mwaka 1972 Nigeria walibadili kutoka kuendesha kushoto kwenda kulia.Hili nalo la kulia lia
Hayawezi kuadimika hata ikitokea hivyo ni fursa hiyo tutafungua workshop za conversion LHD ➡️ RHDSehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.
Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.
View attachment 3100640
Naona Japan ni WA blue, na tuna uhakika na haya magari.Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.
Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.
View attachment 3100640
Wote uliowataja, wanatengeneza magari yao. Je si wakati muafaka basi tukatengeneza yetu ili kuepuka hiyo hasara?Sehemu kubwa ya watu duniani wanaaishi kwenye nchi zinazoendesha magari upande wa kulia. Sisis tukiendesha kushoto kwa sababu ya kutawaliwa na Muingereza.
Jambo hili ni hasara sana kwetu. Tukiwa kama wanunuzi wa magari yaliyotumika tunakosa magari mengi mazuri na rahisi kutoa Marekani, Ujerumani na sasa China. Huko tunakoenda magari mengi used yatakuwa yanatoka kwa wachina, yatakuwa yanayoendeshwa kulia. Nchi tunazoendesha kushoto tutakuwa na magari machache sana ya kugombniana. Hii ni hasara sana kwetu.
Bluu Wanaendesha kushoto.
Nyekundu: Wanaendesha kulia.
View attachment 3100640
Na MAREKANISiyo yote. Cheki Nigeria na Ghana. Ziliamua kujiongeza.
Kuna kitu akipo sawa..Maneno yote hayo kumbe unavizia magari used
Basi wameirudisha lakini huo ndio ulikuwa msimamo wa kagame miaka ya nyuma Right-hand-drive vehicles return on Rwandan roadsRwanda na burundi hadi kesho bado wanaendesha kwa kutumia upande wa kulia wa barabara, na gari zao ni left hand drive.
Hii itakuwa poa sanaHayawezi kuadimika hata ikitokea hivyo ni fursa hiyo tutafungua workshop za conversion LHD ➡️ RHD
Ni malengo mazuri sana. Tuanze hata na bajaji.Wote uliowataja, wanatengeneza magari yao. Je si wakati muafaka basi tukatengeneza yetu ili kuepuka hiyo hasara?
HakipoKuna kitu akipo sawa..
Zilifuata mfumo wa LHD kutokana na ukanda wa ECOWASSiyo yote. Cheki Nigeria na Ghana. Ziliamua kujiongeza.
So siyo wote waliotawaliwa na Uingereza wanaendesha kushoto. Kuna sababu nyingine kwa nini nchi zinaendesha kushoto au kulia.Zilifuata mfumo wa LHD kutokana na ukanda wa ECOWAS
Wengi waliotawaliwq na muingereza walibaki na RHD ila wengine walihamia LHD kutokana na ukanda waliopo kubase zaidi kwenye LHD mfano Nigeria na GhanaSo siyo wote waliotawaliwa na Uingereza wanaendesha kushoto. Kuna sababu nyingine kwa nini nchi zinaendesha kushoto au kulia.
Tupatie hizo sababu na sisi tuzifahamuuSo siyo wote waliotawaliwa na Uingereza wanaendesha kushoto. Kuna sababu nyingine kwa nini nchi zinaendesha kushoto au kulia.
Moja ni sababu tulitawaliwa na muingereza.Tupatie hizo sababu na sisi tuzifahamuu