Kuepuka kulipuliwa kwa kutumia simu yako, tumia WiFi na BLUETOOTH

Kuepuka kulipuliwa kwa kutumia simu yako, tumia WiFi na BLUETOOTH

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile.

Hata hivyo kufuatia mashambulio ya kigaidi ya Israel ya kielektronik huko Lebanon inabidi watu tujiongeze ili iwe ngumu kuripuliwa kutoka mbali kwa kutumia simu na laptop zetu.

Hutaweza kujilinda kirahisi usijulikane maeneo ulipo au unapopita katika safari yako,lakini angalau unaweza ukajilinda na uwezekano wa shambulizi hilo kwa kupendelea kutumia wifi .

Ushauri wa ziada ni kuwa Iwapo wewe ni mfanyabiashara mkubwa au ni mtu wa harakati fulani vile vile epuka kuagiza vifaa vya kielektronik kutoka nje kwa kutumia jina lako moja kwa moja.Kufanya hivyo maajenti kutoka nje au ndani ya nchi wanaweza wakaingilia kati katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa yako na kuipandikiza kifaa cha kijasusi au kiripuzi bila wewe kujua.

Kwenye simu zetu za kijanja tunapopakua apps na kujsajili kwenye mitandao ya kijamii tunalazimika kukubali masharti ya matumizi ya apps hizo kwa tamaa tu iwe wepesi kumaliza kazi ya kujisajili bila kusoma kila kipengele cha masharti hayo.

Mara nyingi katika vipengele vinavyokuwemo ni kutoa fursa kwa wao kukupekua muda wowote wakitaka.Iwapo ni mtu una harakati za maana za kibiashara au jambo jengine lolote lile unakuwa umetoa ruhusa ya kupelelezwa na hatimae kuja kudhuriwa.
 
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile.
Hata hivyo kufuatia mashambulio ya kigaidi ya Israel ya kielektronik huko Lebanon inabidi watu tujiongeze ili iwe ngumu kuripuliwa kutoka mbali kwa kutumia simu na laptop zetu.
Hutaweza kujilinda kirahisi usijulikane maeneo ulipo au unapopita katika safari yako,lakini angalau unaweza ukajilinda na uwezekano wa shambulizi hilo kwa kupendelea kutumia wifi .
Ushauri wa ziada ni kuwa Iwapo wewe ni mfanyabiashara mkubwa au ni mtu wa harakati fulani vile vile epuka kuagiza vifaa vya kielektronik kutoka nje kwa kutumia jina lako moja kwa moja.Kufanya hivyo maajenti kutoka nje au ndani ya nchi wanaweza wakaingilia kati katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa yako na kuipandikiza kifaa cha kijasusi au kiripuzi bila wewe kujua.
Kwenye simu zetu za kijanja tunapopakua apps na kujsajili kwenye mitandao ya kijamii tunalazimika kukubali masharti ya matumizi ya apps hizo kwa tamaa tu iwe wepesi kumaliza kazi ya kujisajili bila kusoma kila kipengele cha masharti hayo.
Mara nyingi katika vipengele vinavyokuwemo ni kutoa fursa kwa wao kukupekua muda wowote wakitaka.Iwapo ni mtu una harakati za maana za kibiashara au jambo jengine lolote lile unakuwa umetoa ruhusa ya kupelelezwa na hatimae kuja kudhuriwa.
Hii nenda mkashauriane huko madrasa na wafia dini wenzio mnafikiri hivyo vitu mtakwepa amevigundua myahudi pia
 
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile.
Hata hivyo kufuatia mashambulio ya kigaidi ya Israel ya kielektronik huko Lebanon inabidi watu tujiongeze ili iwe ngumu kuripuliwa kutoka mbali kwa kutumia simu na laptop zetu.
Hutaweza kujilinda kirahisi usijulikane maeneo ulipo au unapopita katika safari yako,lakini angalau unaweza ukajilinda na uwezekano wa shambulizi hilo kwa kupendelea kutumia wifi .
Ushauri wa ziada ni kuwa Iwapo wewe ni mfanyabiashara mkubwa au ni mtu wa harakati fulani vile vile epuka kuagiza vifaa vya kielektronik kutoka nje kwa kutumia jina lako moja kwa moja.Kufanya hivyo maajenti kutoka nje au ndani ya nchi wanaweza wakaingilia kati katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa yako na kuipandikiza kifaa cha kijasusi au kiripuzi bila wewe kujua.
Kwenye simu zetu za kijanja tunapopakua apps na kujsajili kwenye mitandao ya kijamii tunalazimika kukubali masharti ya matumizi ya apps hizo kwa tamaa tu iwe wepesi kumaliza kazi ya kujisajili bila kusoma kila kipengele cha masharti hayo.
Mara nyingi katika vipengele vinavyokuwemo ni kutoa fursa kwa wao kukupekua muda wowote wakitaka.Iwapo ni mtu una harakati za maana za kibiashara au jambo jengine lolote lile unakuwa umetoa ruhusa ya kupelelezwa na hatimae kuja kudhuriwa.
Kwa hiyi akina fulani wasijidai sana wakidhani wako salama sana? Wazee wa Sovereignity country
 
Mkuu ungekuwa unajua ni aina gani ya simu zimelipuka huko hii thread usingeanzisha
Ni kama zile nokia za zamani kabisa waliacha kabisa kutumia hizi simu za kisasa
2560.jpg
 
Mkuu ungekuwa unajua ni aina gani ya simu zimelipuka huko hii thread usingeanzisha
Ni kama zile nokia za zamani kabisa waliacha kabisa kutumia hizi simu za kisasa
View attachment 3101340
Soma vizuri mkasa mzima wa njia iliyotumika kuviripua.
vilipandikizwa vibomu tangu kiwandani.kwa vile order ilijulikana ni kwa ajili ya hezbollah
Imetajwa ni shambulio la kigaidi kwani hakukuwa na uhakika kama waliozishika wote ni wapiganaji wa hizbullah au walikuwa wapi wakati wanazitumia.Ndio maana wameumia watu wengi majumbani na masokoni.
 
hivi simu inaweza kulipuka kiasi cha kuua mtu?
Majitu ni majinga sana sana. Hii thread inaendelea kuandikwa na watu wajinga wajinga.
Nawahurumia sana. Yangekuwa karibu ningeyatia vibao.. Ni kushadadia ujinga, Wachina wahindi wanasisitiza kusoma sayansi huku matanzania mengi yanakimb8lia lia kiswahili, civics, jografia nk matokeo yake yana amini ujinga. .Huu ni ujinga mkubwa
 
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile.

Hata hivyo kufuatia mashambulio ya kigaidi ya Israel ya kielektronik huko Lebanon inabidi watu tujiongeze ili iwe ngumu kuripuliwa kutoka mbali kwa kutumia simu na laptop zetu.

Hutaweza kujilinda kirahisi usijulikane maeneo ulipo au unapopita katika safari yako,lakini angalau unaweza ukajilinda na uwezekano wa shambulizi hilo kwa kupendelea kutumia wifi .

Ushauri wa ziada ni kuwa Iwapo wewe ni mfanyabiashara mkubwa au ni mtu wa harakati fulani vile vile epuka kuagiza vifaa vya kielektronik kutoka nje kwa kutumia jina lako moja kwa moja.Kufanya hivyo maajenti kutoka nje au ndani ya nchi wanaweza wakaingilia kati katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa yako na kuipandikiza kifaa cha kijasusi au kiripuzi bila wewe kujua.

Kwenye simu zetu za kijanja tunapopakua apps na kujsajili kwenye mitandao ya kijamii tunalazimika kukubali masharti ya matumizi ya apps hizo kwa tamaa tu iwe wepesi kumaliza kazi ya kujisajili bila kusoma kila kipengele cha masharti hayo.

Mara nyingi katika vipengele vinavyokuwemo ni kutoa fursa kwa wao kukupekua muda wowote wakitaka.Iwapo ni mtu una harakati za maana za kibiashara au jambo jengine lolote lile unakuwa umetoa ruhusa ya kupelelezwa na hatimae kuja kudhuriwa.
Bomu halipigwi mochwari
 
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile.

Hata hivyo kufuatia mashambulio ya kigaidi ya Israel ya kielektronik huko Lebanon inabidi watu tujiongeze ili iwe ngumu kuripuliwa kutoka mbali kwa kutumia simu na laptop zetu.

Hutaweza kujilinda kirahisi usijulikane maeneo ulipo au unapopita katika safari yako,lakini angalau unaweza ukajilinda na uwezekano wa shambulizi hilo kwa kupendelea kutumia wifi .

Ushauri wa ziada ni kuwa Iwapo wewe ni mfanyabiashara mkubwa au ni mtu wa harakati fulani vile vile epuka kuagiza vifaa vya kielektronik kutoka nje kwa kutumia jina lako moja kwa moja.Kufanya hivyo maajenti kutoka nje au ndani ya nchi wanaweza wakaingilia kati katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa yako na kuipandikiza kifaa cha kijasusi au kiripuzi bila wewe kujua.

Kwenye simu zetu za kijanja tunapopakua apps na kujsajili kwenye mitandao ya kijamii tunalazimika kukubali masharti ya matumizi ya apps hizo kwa tamaa tu iwe wepesi kumaliza kazi ya kujisajili bila kusoma kila kipengele cha masharti hayo.

Mara nyingi katika vipengele vinavyokuwemo ni kutoa fursa kwa wao kukupekua muda wowote wakitaka.Iwapo ni mtu una harakati za maana za kibiashara au jambo jengine lolote lile unakuwa umetoa ruhusa ya kupelelezwa na hatimae kuja kudhuriwa.
Bomu halipigwi mochwari
 
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile.

Hata hivyo kufuatia mashambulio ya kigaidi ya Israel ya kielektronik huko Lebanon inabidi watu tujiongeze ili iwe ngumu kuripuliwa kutoka mbali kwa kutumia simu na laptop zetu.

Hutaweza kujilinda kirahisi usijulikane maeneo ulipo au unapopita katika safari yako,lakini angalau unaweza ukajilinda na uwezekano wa shambulizi hilo kwa kupendelea kutumia wifi .

Ushauri wa ziada ni kuwa Iwapo wewe ni mfanyabiashara mkubwa au ni mtu wa harakati fulani vile vile epuka kuagiza vifaa vya kielektronik kutoka nje kwa kutumia jina lako moja kwa moja.Kufanya hivyo maajenti kutoka nje au ndani ya nchi wanaweza wakaingilia kati katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa yako na kuipandikiza kifaa cha kijasusi au kiripuzi bila wewe kujua.

Kwenye simu zetu za kijanja tunapopakua apps na kujsajili kwenye mitandao ya kijamii tunalazimika kukubali masharti ya matumizi ya apps hizo kwa tamaa tu iwe wepesi kumaliza kazi ya kujisajili bila kusoma kila kipengele cha masharti hayo.

Mara nyingi katika vipengele vinavyokuwemo ni kutoa fursa kwa wao kukupekua muda wowote wakitaka.Iwapo ni mtu una harakati za maana za kibiashara au jambo jengine lolote lile unakuwa umetoa ruhusa ya kupelelezwa na hatimae kuja kudhuriwa.
Unaongelea technology ambayo hata wewe mwenyewe huijui kabisaaa
 
Majitu ni majinga sana sana. Hii thread inaendelea kuandikwa na watu wajinga wajinga.
Nawahurumia sana. Yangekuwa karibu ningeyatia vibao.. Ni kushadadia ujinga, Wachina wahindi wanasisitiza kusoma sayansi huku matanzania mengi yanakimb8lia lia kiswahili, civics, jografia nk matokeo yake yana amini ujinga. .Huu ni ujinga mkubwa
Usitufokee 😂
 
Usitufokee 😂
Wajinga sana. Nenda Google kaangalie muundo wa hizo battery zilizolipuka. Ni battery tofauti, zilizowekwa kimtego. Yaani ni bomu lililotegwa kwenye simu. Lebn nao elimu ndogo sana, wameshindwa kugundua kitu kidogo sana. Elimu ya simu na bomu sio rocket sayansi, ni ya kawaida sana.
Dunia ya sasa hakuna elimu mpya ukizingatia internet hata mtoto mdogo anaweza jua mambo, shida iliopo bantu people hawataki kusumbua akili na kutumia muda wao kujifunza. Mtaendekea kuwa wajinga.
Gwajima aliwaambia 5G ni corona mkakubali vipi msiitwe wajinga.
Kuna mambo mengi sana ya kijinga yana aminiwa TZ.
Umeshindwa hata kuiuliza AI ikupe majibu, tuwafunfishe basi hata jinsi ya kuiuliza AI ili muwe mna ABC kabla ya kuamini ujinga
 
Wajinga sana. Nenda Google kaangalie muundo wa hizo battery zilizolipuka. Ni battery tofauti, zilizowekwa kimtego. Yaani ni bomu lililotegwa kwenye simu. Lebn nao elimu ndogo sana, wameshindwa kugundua kitu kidogo sana. Elimu ya simu na bomu sio rocket sayansi, ni ya kawaida sana.
Dunia ya sasa hakuna elimu mpya ukizingatia internet hata mtoto mdogo anaweza jua mambo, shida iliopo bantu people hawataki kusumbua akili na kutumia muda wao kujifunza. Mtaendekea kuwa wajinga.
Gwajima aliwaambia 5G ni corona mkakubali vipi msiitwe wajinga.
Kuna mambo mengi sana ya kijinga yana aminiwa TZ.
Umeshindwa hata kuiuliza AI ikupe majibu, tuwafunfishe basi hata jinsi ya kuiuliza AI ili muwe mna ABC kabla ya kuamini ujinga
Dah huwa inakera ila utafanyaje sasa

Tunabaki kuwahurumia, kuna hawa wa vijijini mikoa ya Kigoma, Geita, Shinyanga na Simiyu wanaamini sanaaaaa uchawi

Huwa naamini kwamba jamii inayoendekeza sana imani hii ni ya kijinga sana
 
Dah huwa inakera ila utafanyaje sasa

Tunabaki kuwahurumia, kuna hawa wa vijijini mikoa ya Kigoma, Geita, Shinyanga na Simiyu wanaamini sanaaaaa uchawi

Huwa naamini kwamba jamii inayoendekeza sana imani hii ni ya kijinga sana
Uchawi ni tofauti na sayansi mkuu. Simu unaweza ukaifungua ukaona. Uchawi ni myth. Uchawi unapendwa TZ yote, kama dini vile. Hio mikoa ina vuma tu.
 
Back
Top Bottom