Kuepuka kulipuliwa kwa kutumia simu yako, tumia WiFi na BLUETOOTH



We bwege kweli.... Unadhani unaelewa sana teknolojia kuliko Hezbollah au Irani? Nenda huko kafundishane ujinga na wenzio. Myahudi akiamua kukutaka anakula tu kama kawaida.
 
Uchawi ni tofauti na sayansi mkuu. Simu unaweza ukaifungua ukaona. Uchawi ni myth. Uchawi unapendwa TZ yote, kama dini vile. Hio mikoa ina vuma tu.
sio inavuma bali wengi wa watu wanaoishi hiyo mikoa wanapenda sana hayo mambo nikimaanisha ni asilimia 80 ya population
 
Sidhan kama ni sawa maana hizo pagers zilionekana kuwa sala zaidi kwakuwa hazina mambo mengi zinapokea tu wala hazitumi chochote.
Kama dogo wa silk road alidakwa pamoja na kuwa anatumua public wifi ya library nadhani tena public wifi ni hatari zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…