Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Halafu wenye mamlaka wakishakusanya, wanazitapanya tu kadiri wawezavyo! Jambo hili linakatisha watu tamaa.Kila kitu tozo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wenye mamlaka wakishakusanya, wanazitapanya tu kadiri wawezavyo! Jambo hili linakatisha watu tamaa.Kila kitu tozo...
Huwezi kusema kwa kuwa viranja wanakula maharage mengi, basi wanafunzi wasipikiwe shuleniHalafu wenye mamlaka wakishakusanya, wanazitapanya tu kadiri wawezavyo! Jambo hili linakatisha watu tamaa.
Hapana mkuu, viwanda havitakufa, hilo ni ongezeko kidogo sana ambalo halitakiwa na athari kihivyoSiungi mkono hoja, siyo kwa sababu siguswi na matatizo ya watu wengine! La hasha!! Tatizo ni kwa wale watao simamia hilo zoezi. Hao ndiyo watanufaika zaidi kuliko hao walemavu.
Na jambo hili halikubaliki hata kidogo. Halafu isitoshe hiyo tozo inaweza kusababisha viwanda vya maji kufa! Maana itafikia wakati baadhi ya watu wataanza kutembea na madumu ya maji wawapo katika mizunguko yao, ili kupunguza matumizi ya maji ya kununua.
Waziri mwenye dhamana na yeye atazunguka na Chopper nchi nzima kupitia hizo tozo kama yule mwenzake, kwenda kuzungumza na hao walemavu!Hata 100 haitawafikia hao
Ova
Hivi ukiwa kkoo maji ya kisima utayatoa wapi au wewe uko mkoa gani?Maji ya kunywa ya chupa sio bidhaa ya muhimu kihivyo kwa kuwa kuna mbadala kwa asiye na uwezo wa kuyanunua. Tumekunywa maji ya visima kwa muda mrefu kabla ya maji ya chupa na haijawahi kuwa ishu. Uzuri wa maji ni bidhaa inayogusa watu wote, wacha Mungu na wahuni.
Wewe unataka jukumu hili tuwaachie walevi peke yao?
Wakate huko kwa Wabunge na mawazir sisi wanyonge mtuache jamani yaan sijui mnatuonaje mtoa Mada hujitambui katen kwenye sigara na Pombe zenu bia na Konyagi dah!
Mkuu Tushome wewe hutaki kusaidia wasiojiweza unataka walevi tu ndio wasaidie? Kumbe wakati fulani tunawalaumu walevi bure tu ila ndio wenye utu na moyo wa ukarimuBegging economy aiwezi kuisha duniani hata utumie policy gan!??
We umesaidia watu wangapi kuwatoa kwenye extreme poverty?Mkuu Tushome wewe hutaki kusaidia wasiojiweza unataka walevi tu ndio wasaidie? Kumbe wakati fulani tunawalaumu walevi bure tu ila ndio wenye utu na moyo wa ukarimu
Mkuu, ishu sio kumaliza lakini angalau kupunguza machungu kwa watu wenye uhitaji maalum. Fikiria hao watoto wasio na walezi mfano wawe ni wanao halafu wewe haupo, unawaona lakini huwezi kufanya kitu na kila mtu kawatosa!Begging economy aiwezi kuisha duniani hata utumie policy gan!??
Ndio maana nasema mtu mmoja mmoja hata tukisaidia haina manufaa sana maana tatizo ni kubwa hiyo tunahitaji policy intervention na ndio ninayoshauri hapo juu.We umesaidia watu wangapi kuwatoa kwenye extreme poverty?
Unabeba chupa yako ya lita tatu toka nyumbani, hutaki nunua ya chupa uwachangie walemavu 20 Tsh. Kuna ubaya gani?Hivi ukiwa kkoo maji ya kisima utayatoa wapi au wewe uko mkoa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana uwezo/ nguvu kazi kabisa. Fikiria mtu mfano hana mikono na ametelekezwa na ndugu atafanyaje? Kumbuka kuna watu wazima watu afya, wana na degreee ila wasipoajiriwa inabidi waombe hifadhi kwa shemeji, sasa hawa wao watafanya nini bila kusaidiwa?? Au wengine ni watoto yatima na wametelekezwa na jamii wanalala chini ya madaraja.Ujinga wa tozo ni kwamba haizalishi kitu kipya.
Tufikirie mipango ya kuongeza uzalishaji, si ya kugawa vipandepande kile kilichopo.
Fikiria hao watu wana nguvukazi gani na inawezaje kutumika katika uzalishaji wakajisaidia wao na kuisaidia jamii.
Usifikirie tozo.
Unaandika hawana mikono, lakini picha zinaonesha wamekinga mikono kuomba.Hawana uwezo/ nguvu kazi kabisa. Fikiria mtu mfano hana mikono na ametelekezwa na ndugu atafanyaje? Kumbuka kuna watu wazima watu afya, wana na degreee ila wasipoajiriwa inabidi waombe hifadhi kwa shemeji, sasa hawa wao watafanya nini bila kusaidiwa?? Au wengine ni watoto yatima na wametelekezwa na jamii wanalala chini ya madaraja.
Unaandika hawana mikono, lakini picha zinaonesha wamekinga mikono kuomba
Ni mfano tu mkuu, yaani ishu ni nyingi. Hilo la mikono ni mfano. Picha yenyewe ni mfano. Ila suala la uwepo wa watu wa makundi maalum ambao hawawezi kujikimu au kusimama wenyewe kwa sababu ya majanga ya kimaumbile ni suala halisi na la wazi sana.Unaandika hawana mikono, lakini picha zinaonesha wamekinga mikono kuomba.
Sio kumnyonya mtu mkuu. Ni busara ya kawaida tu. Kukatwa kodi kwa wenye nacho na kuwasaidia wasio nacho ni busara ya kawaida inaitwa distributive justice. Ndio maana matajiri hulipa kodi kubwa ambayo ina subsdize maisha ya masikini.The solution ya kuwasaidia watu walemavu nikupunguza Mishahara ya wanasiasa kitakachopatina kinatosha kuwa-feed walemavu nchi nzima sio busara kumnyonya Mtu ambaye Hana stable economic Over.🙏✍️