Kuepuka mimba

sajumo

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
1,834
Reaction score
1,055
Wakuu naomba msaada maana nimezungumza na watu kadhaa kuhusu hii njia ya kuzuia mimba kupitia tarehe lakini inanipa shida maana kila mtu ananitajia tarehe zake na wa mwiso alinambia ni siku ya kumi npaka ya kuni na nne ndio posible days huku mmoja kaniambia ni kuanzia siku ya kwanza mpaka saba kisha inafuata safe siku saba huyu alinichanganya kabisa nnalea wandugu nisaidieni
 
nacho jua mimi baada ya kukata kwa period kuna siku tano hadi sita za kupiga mzigo upendavyo baada ya hapo ni condom tu mpaka period nyingine kwani hapo katikati ya tarehe za mzunguko huwa zinachanganya sana hii nina uzoefu nayo....subili wataalam zaidi
 
Safe days ni siku 11 lakini unahesabu kuanzia pale unaanza period, maximum siku za breed ni tano lakini wengine wanatumia siku nne au zaidi ya tano kwa hiyo siku 6 zilizobaki hapo unapiga mzigo kavu bila wasi. Baada ya hapo unaweza kuwa unapiga then unamwaga nje au unatumia kondomu. Angalizo hiyo ya kumwaganje kuwa makini nayo sana wakati wa kurudia tendo maana unaweza ukaingiza na vijimbegu vilivyobakia kwenye uume
 
Cku sa hatar ni kuanzia cku ya 11 had 17 baada yq kuanza hedhi,zilizobak ni safe.
 
Siku za hatari ni 14 hadi 16 tokea siku mwanamke ameanza kupata hedhi kuanzia hapo huwa safe hadi karibia mzunguko wa pili....lakini tatizo huja ktk kujua ni lini mzunguko wa pili utaanza kwakuwa waliowengi hawajui mizunguko yao. Kitaalamu kuna mizunguko ya aina mbili upo unaoenda siku 23 na upo unaoenda siku 28 kwahyo kama mzunguko wako ni siku 23 toa 14 hizo siku utakazozipata ndio siku salama na kma siku 28 utafanya kama hapo mwanzo hzo siku utakazozipata ndizo salama kwa mwanamke kutopata ujauzito.

NB: Zinahitaji kwa mwanamke anayejua vizuri mzunguko wake yaani usiebadilikabadilika.
 
Jumla ya siku za mzunguko toa 14 unapata siku ambayo lazima mama apate ujauzito kama hakuna shida yoyote. Siku Tatu kabla na baada ya siku hiyo kuna uwezekano wa kubeba ujauzito. Mzunguko unahesabiwa kuanzia siku ya kwanza ya hedhi hadi siku ya moja kabla ya hedhi nyingine. Usitumie kalenda ya ukutani ku
 
Reactions: SMU
Ahsante kwa majibu nashkuru kwani majibu kidogo yamenifanya niwe poa maana nikikua najichanganya vibaya wangu kwa haya majibu ngekua natumia ile knowledge nloipata mwanzo ngekua naitafuta mimba
Ahsanteni wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…