Kufa kwa Kanumba siyo chanzo cha kufifia kwa soko la Bongo Movie

Kufa kwa Kanumba siyo chanzo cha kufifia kwa soko la Bongo Movie

kifimbocheza_

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
1,119
Reaction score
1,095
Za asubuhi wana jamvi

Kwanza kabisa napenda kukubali na kufaham juhudi za marehemu kanumba kwenye kiwanda cha filamu bongo. Kipindi kanumba yupo hai bongo movie ndo industry iliyokuwa inauza sana kuliko hata mziki wasanii wa movie walikuwa wanatengeneza pesa mingi sana.

Lakini hapa kati soko la movie limeyumba sana kupelekea watu kuhisi kuwa labda kufa kwa kanumba ndo kumesababisha kuchuja kwa soko la movie bongo, watu inafikia kudai ray naye alikuwa anatembelea nyota ya kanumba ndo maana hafanyi vizuri asa iv. Lakini ukweli kifo cha kanumba hakina uhusiano wowote na kufa kwa hiki kiwanda cha movie.

Naweza sema ni wakati tu ndo ulikuwa umewadia kwa kiwanda cha mziki ku-shine. Hata kanumba angekuwepo hai leo asingefanya chcht maana muda ni ukuta huwezi bishana nao. Leo hii angalia hakuna filam zilizokuwa zinauza kama filam za nigeria kwa hapa afrika, lakini angalia kwa asa iv bado zipo kwny peek ile ile au nazo zimefifia kama bongo tu. So mtuambie sasa sijui huko nako nani amkekufa na akasababisha kushuka kwa soko la filam nigeria.

Watu siku izi hawashoboki tena na filam za kiafrika iwe za nigeria, ghana au tanzania zote chali mziki ndo unakimbiza na series za korea. So kuwepo au kutokuwepo kwa kanumba hakina uhusiano wowte na kufa kwa bongo hata yeye angekuwepo kwa asa ivi angechemuka tu.

Peace.
 
Za asubuhi wana jamvi

Kwanza kabisa napenda kukubali na kufaham juhudi za marehemu kanumba kwenye kiwanda cha filamu bongo. Kipindi kanumba yupo hai bongo movie ndo industry iliyokuwa inauza sana kuliko hata mziki wasanii wa movie walikuwa wanatengeneza pesa mingi sana.

Lakini hapa kati soko la movie limeyumba sana kupelekea watu kuhisi kuwa labda kufa kwa kanumba ndo kumesababisha kuchuja kwa soko la movie bongo, watu inafikia kudai ray naye alikuwa anatembelea nyota ya kanumba ndo maana hafanyi vizuri asa iv. Lakini ukweli kifo cha kanumba hakina uhusiano wowote na kufa kwa hiki kiwanda cha movie.

Naweza sema ni wakati tu ndo ulikuwa umewadia kwa kiwanda cha mziki ku-shine. Hata kanumba angekuwepo hai leo asingefanya chcht maana muda ni ukuta huwezi bishana nao. Leo hii angalia hakuna filam zilizokuwa zinauza kama filam za nigeria kwa hapa afrika, lakini angalia kwa asa iv bado zipo kwny peek ile ile au nazo zimefifia kama bongo tu. So mtuambie sasa sijui huko nako nani amkekufa na akasababisha kushuka kwa soko la filam nigeria.

Watu siku izi hawashoboki tena na filam za kiafrika iwe za nigeria, ghana au tanzania zote chali mziki ndo unakimbiza na series za korea. So kuwepo au kutokuwepo kwa kanumba hakina uhusiano wowte na kufa kwa bongo hata yeye angekuwepo kwa asa ivi angechemuka tu.

Peace.
wew huoni wote wamekimbilia ccm hamna mtu ananunua bongo movie kabisa za hawa wasijielewa hawa never
 
Wewe lazima uwe mhusika , either actor or actress ...tumekusikia na tunatafakari.
 
Ni kweli hakuna uhusiano wowote...Dunia nzima DVD sale zimeporomoka sana. Watu wanangalia movies cinema au kustream hapa Tanzania wasanii wanategemea sana DVD sale.
Ishu nyingine ni kupatikana hizi movies za kibongo kwenye vingamuzi so why ninunue movies wakati naona home.
Uwekezaji kwenye movies ni mdogo sana yaani stories ni zilezile mtu anakuwa mchawi anaombewa anapona. Kifupi wanashindwa kuigiza uhalisia wa maisha ya mtanzania
Talent mpaka sasa kuna shida ya kupata waigizaji wenye talent
 
Ni kweli hakuna uhusiano wowote...Dunia nzima DVD sale zimeporomoka sana. Watu wanangalia movies cinema au kustream hapa Tanzania wasanii wanategemea sana DVD sale.
Ishu nyingine ni kupatikana hizi movies za kibongo kwenye vingamuzi so why ninunue movies wakati naona home.
Uwekezaji kwenye movies ni mdogo sana yaani stories ni zilezile mtu anakuwa mchawi anaombewa anapona. Kifupi wanashindwa kuigiza uhalisia wa maisha ya mtanzania
Talent mpaka sasa kuna shida ya kupata waigizaji wenye talent
Kweli mkuu.
 
Kichwa gani kitakaa sebuleni siku hizi kuangalia bongo movi
Si kwa uswawa huu.wahusika qenyewe wa bongo movie hawakuusoma wakati wakajiongeza kwenda shule ili walisome soko na mahitaji ya watejabwao.
Wana booooaàaàaa sana.
Movie zilezilee tuu ukiona title tu ya movie unaitambua hata kabla ya kuiangalia
 
Hongera kwa kuongea jambo ambalo limeniingia akilini jamaa
 
Ni kweli. Watu hawafanyi kazi nzuri wamehamia kny siasa then wanasema source ya bongo movie kufa ni kifo cha kanumba.
 
Hilo mambo Ni 50 kwa 50 Kuna upande kifo cha kanumba kimesababisha kushuka kwa bongo movie poa upande mwingine Ni kutokana Na mabadiliko ya kiteknolojia kutoka dvd hadi youtube Na hii imechagizwa Na matumizi ya mtandao kupitia smartphones
 
Back
Top Bottom