kufa kwa sauti

malema 1989

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
1,319
Reaction score
520
wataalamu naombeni mnisaidie ni nini hasa chanzo cha mtu kupoteza sauti? rafiki yangu kanitaarifu kaamka leo sauti haitoki vizuri na anahisi maumivu ya mwili mzima, ni nini tatizo wadau?
 
Subiri Mkuu MziziMkavu aje atoe darasa. Ila mwambie atafune tangawizi mbichi itamsaidia.
 
Last edited by a moderator:
wataalamu naombeni mnisaidie ni nini hasa chanzo cha mtu kupoteza sauti? rafiki yangu kanitaarifu kaamka leo sauti haitoki vizuri na anahisi maumivu ya mwili mzima, ni nini tatizo wadau?


Title ya thread yako inavuta hisia tofauti kabisa na ulichoandika kwenye mada husika.
 
inaonekana jana alilopoka sana nini maana ndio madhara yake hayo..
 
Kutoka kuamka ndo amejikuta sauti imeondoka bac aliumwa akiwa usingizin na homa kali ndomana amejikuta mwili umechoka,,,,,, hapo itabidi atumie dawa za miti itamsaidia asitafune tangawizi mbichi kwan tangawizi n kali kiafya ushahuliwi vitu vkali katka mwili vna effect kubwa sana sitaweza elezea hapa,,,, ila mwambie kwa case ya sauti anunue asali mbichi achanganye na kijiko kimoja cha tangawizi ya unga asitie nyng,,,,,anunue mafuta ya mzaitun atie vijiko viwili vikubwa kisha atumie asubuh mchana na jioni,,,,kama akiona hawez bac ale yai bich kama anaweza kisha kuumwa na mwili anaweza kuchukua majan ya mwarobaini na ya mpele si mbaya akatie kifumbasi kama anakijua kisha akashemsha na kujifukiza mara tatu atakuwa fresh na hata kama alikuwa anayemelewa na homa itaondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…