Kufa kwa Serikali zilizopo muda mrefu zinakuwa na wingi wa idara za uchawa kwa ajili ya Rais

Kufa kwa Serikali zilizopo muda mrefu zinakuwa na wingi wa idara za uchawa kwa ajili ya Rais

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Yani sasa hivi ukitaka kwenda jela tukana Rais. Hii ni moja ya dalili ya mwisho kwa nchi zilizokosa utawala wa haki au chama kujiogopa ili kubakia nafasi yao.

Nchi zilizofanya haya moja wapo Tanzania inakaribia ukingoni. Yaani sasa hivi chama au Rais hata mimi kaka yake shetani siogopwi sababu sio mtawala.

Nukuu
Umaskini huzaa uwoga na uwoga huzaa ujinga na ujinga huzaa unafiki na mwisho wa yote huzaa vita yenye majuto.
 
Wanauwa sisismizi Kwa kutumia tofaliii....
 
Back
Top Bottom