Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Tuanze na hii! Ni nzuri kwa mkazi wa DSM
FUGA BROILER mwenyewe!
Wakishakuakua unaanza KUWAKAANGA eneo la stand unaweka na tundizi uchwara zile za mabibo za 50 50! Usisahau na tupilipili[emoji39]! Kuku mmoja unapata faida ya 3000 hapo minus operational costs! Ukiuza kuku 7 kwa siku una faida ya 21k!
Ukianza hii biashara nishtue nitakuja kukuungisha
Tupeane fursa wakuu,
FUGA BROILER mwenyewe!
Wakishakuakua unaanza KUWAKAANGA eneo la stand unaweka na tundizi uchwara zile za mabibo za 50 50! Usisahau na tupilipili[emoji39]! Kuku mmoja unapata faida ya 3000 hapo minus operational costs! Ukiuza kuku 7 kwa siku una faida ya 21k!
Ukianza hii biashara nishtue nitakuja kukuungisha
Tupeane fursa wakuu,