Kufa masikini ni kujitakia! Kumbe fursa zipo!

Kufa masikini ni kujitakia! Kumbe fursa zipo!

Vyakula vya kuku bei juu bado chanjo na dawa mbali mbali
 
Umaskini huanzia kichwani mwa mtu, umepewa wazo si lazima ulichukue lote, mathalani kwenye uzi huu unaweza usifuge ila ukanunua na kukaanga huko mitaani, INALIPA!! Acheni ubishi na muanze kufanyia kazi mawazo ya bure mnayopewa! Inasikitisha ukipitia uzi km huu watu wanavyoleta ujuaji na kukata tamaa bila hata kujaribu. Aliyewaroga anywe maziwa fresh longido kwa wamasai, nakuja kulipa.
 
Kipindi nipo chuo nilikuwa na mawazo kama yako na nilivyokuwa nasoma vitabu vya akina kiyosaki na chase nikimuona mtu hana ajira au hana pesa nilikuwa namchukulia negative sana...
Baada ya kumaliza chuo nakuanza rasmi mishe za mtaani mmh....mamaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mi nlisoma kitabu cha Kiyosaki almanusura niache kazii...

Nahisi kwa life la sasa ningeshafirka...
 
Tuanze na hii! Ni nzuri kwa mkazi wa DSM

FUGA BROILER mwenyewe!

Wakishakuakua unaanza KUWAKAANGA eneo la stand unaweka na tundizi uchwara zile za mabibo za 50 50! Usisahau na tupilipili[emoji39]! Kuku mmoja unapata faida ya 3000 hapo minus operational costs! Ukiuza kuku 7 kwa siku una faida ya 21k!

Ukianza hii biashara nishtue nitakuja kukuungisha

Tupeane fursa wakuu,
"Aliyelala usimuamshe......."
"Asiyejua maana usimwambie maana, ukimwambia maana atasema......."!
 
niliona pale barabara ya Namirembe Kampala jioni jioni kunakuwa na kukuchoma
Hapo panaitwa CHICKEN TONIGHT ndio chimbo langu kiongozi. Ila nikiwa bongo simalizi kuku mzima. Ilo hapo kama upepo tu
 
Hapo panaitwa CHICKEN TONIGHT ndio chimbo langu kiongozi. Ila nikiwa bongo simalizi kuku mzima. Ilo hapo kama upepo tu
Kama mahali hapo biashara inapamba moto tushtuane mkuu, watu tuje kuweka kambi!
 
[emoji28][emoji28]
Dunia inakwenda kasi sana!
Tena kasi ya kimbunga

Unatoa wazo bure, bando lako mwenyewe wanakupa za uso hadi unapotea njia. Daa! Tz tumelogwa si bure. Kwingine mawazo haya yanauzwa na wanaitwa maprofesa wa uchumi watalaam wa biashara kuyatoa kwa kiingilio.

Naililia Tanzania yangu[emoji24][emoji24]
 
Ufugaj wenyewe una changamoto zake usidhan watu wanapenda umaskin mkuu
Anyway ahsante kwa kutukumbusha
 
Huwa sielewi utofauti wa masikini na tajiri huko

Yaani kweli mtu ana Ng’ombe 500 analalia ngozi huku asubuhi analeta maziwa kwa Baiskeli tena Anita

Watoto hawaendi shule wanakula ugali asubuhi na kuanza kukamua

Halafu unajiuliza huyo ni anaevaa yebo yebo anamiliki mifugo zaidi ya 500? Ni mwehu, masikini, tahira, au tajiri?

Kwa Kweli mswahili mpaka sasa wengi hawajui maisha ni nini
Wengine ni kuamka na kulala tu
 
Mwenye uzoefu na kazi ya kufuata samaki feri, kukaanga na kuwauza! Msaada tafadhari! Nahitaji maarifa, mimi nitaajiri wakaangaji!
DSM
 
Back
Top Bottom