Kufa ni kufanya nini?

ukirejea post ya nuyma anasema kuwa kuacha kufanya kazi kwa brain sio sululisho la mtu kufa ndio maana madaktari bingwa wanaweza kukufanyia operation ya ubongo..
Mbona jibu rahisi tuu japo sio mwanasayansi
Kufanyiwa operation ya ubongo unaweza usife....
inategemea na ubongo gani wana deal nao kama ule wa mambo ya hiari hapo uwezekano wa kufa mdogo...
Lakini wakikusa ubongo unaoshuhulikia mambo yasio ya hiari mfano. Digestion system, heart beats, respiratory system hapo kufa ni kugusa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…