Kufa ni kufanya nini?

Kupumua unaweza saidiwa artificially, pia mapigo ya moyo..but once brain cells zinaanza kufa huwezi kuziamsha tena. So kifo ni dead brain
 
Greater thinker ua message dogo Hawa iwe xzi
 

Nimepata kitu hapa mkuu
 
Shortly Kufa ni kulala...kama sasa hivi hapa asubuhi nimetoka kitandani kufa!!
 

Asante, nimepata kitu na maswali yameongezeka akilini mwangu... ngoja nipate muda utanielewesha zaidi
 

Umenitisha sana.
 

asante cna kw elimu ya bure kabisa.ubarikiwe
 
Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro aliita LAZARO NJOO
siri ya kifo na mbinguni nikubwa sana ndio maana hakuna sehemu hata moja ya biblia imeandikwa baada ya lazaro kufa alisema je kule mbinguni kukoje.Angeweza kusema leo hii tungekuwa na mabadiliko.

Maana watu wangesikiliza Lazaro alichokiona kule.Hivyo inabaki kuwa fumbo la imani kuwa kufa ni kutenganisha mwili na roho kwa kukata pumzi na pumzi kurejea kwa mwenyewe
 
Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro aliita LAZARO NJOO
siri ya kifo na mbinguni nikubwa sana ndio maana hakuna sehemu hata moja ya biblia imeandikwa baada ya lazaro kufa alisema je kule mbinguni kukoje.

Angeweza kusema leo hii tungekuwa na mabadiliko.Maana watu wangesikiliza Lazaro alichokiona kule.Hivyo inabaki kuwa fumbo la imani kuwa kufa ni kutenganisha mwili na roho kwa kukata pumzi na pumzi kurejea kwa mwenyewe
 
Hii kweli inamaana ya neno kufa
 
Natafuta vijana kama watano hivi tukafanye uchunguzi wa kufa kwa vitendo.
Tutakachofanya tutajiua tukae huko tuendako kwa siku 7 na mwisho tulete majibu ya uhakika.
 
Natafuta vijana kama watano hivi tukafanye uchunguzi wa kufa kwa vitendo.
Tutakachofanya tutajiua tukae huko tuendako kwa siku 7 na mwisho tulete majibu ya uhakika.
...watano?..,kwanini usiende mwenyewe mana yaonesha wapajua 'huko uendako' hadi na siku utakazokaa!
..we tuambie waenda lini sie tutakusubiri tu utuletee majibu!
....safari njema,ufike salama
 
...watano?..,kwanini usiende mwenyewe mana yaonesha wapajua 'huko uendako' hadi na siku utakazokaa!
..we tuambie waenda lini sie tutakusubiri tu utuletee majibu!
....safari njema,ufike salama
Inatakiwa tuende wengi ili tulete ushahidi wa uhakika. Kumbuka nikienda mwenyewe hamtaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…