mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 371
Ingependeza zaidi kama ingetokea siku moja wana JamiiForums wa mkoa mmoja wangeweza kukutana ili wafahamiane na kuunda kitu kama jumuia hivi kwa ajili ya kupeana kampani pind litokeapo tatizo kama misiba ugonjwa na mengineyo. Umoja ni nguvu.
Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.
Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.