Kufahamiana ni jambo jema sana

Kufahamiana ni jambo jema sana

mafoleni

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2016
Posts
220
Reaction score
371
Ingependeza zaidi kama ingetokea siku moja wana JamiiForums wa mkoa mmoja wangeweza kukutana ili wafahamiane na kuunda kitu kama jumuia hivi kwa ajili ya kupeana kampani pind litokeapo tatizo kama misiba ugonjwa na mengineyo. Umoja ni nguvu.

Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.
 
Ingependeza zaidi kama ingetokea siku moja wana JamiiForums wa mkoa mmoja wangeweza kukutana ili wafahamiane na kuunda kitu kama jumuia hivi kwa ajili ya kupeana kampani pind litokeapo tatizo kama misiba ugonjwa na mengineyo. Umoja ni nguvu.

Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.
Mimi niko huku Mandazi Mawili kama kuna member yupo pande hzi tutafutane
 
Wa Chuga mpoo...!

Oooh yeah.......humu ndani tunafahamiana sana tu......wengiiiiiii mbona......nikianza kuwaita nitakesha......
Infwakti......tunatarajia kukutana kabla ya mwezi huu kuisha.......kula bata kidogo......Filipo....Pakajimmy..marejesho...Sweetlady.....Blaki Woman.....Easymutant....Mzee wa Rula.......Lily Flower......Cantalisia.....Igwe......LiverpoolFC......
 
Ingependeza zaidi kama ingetokea siku moja wana JamiiForums wa mkoa mmoja wangeweza kukutana ili wafahamiane na kuunda kitu kama jumuia hivi kwa ajili ya kupeana kampani pind litokeapo tatizo kama misiba ugonjwa na mengineyo. Umoja ni nguvu.

Huo ni mtazamo wangu wa ndugu.
Umetumwa
 
Kwani unakataa kufahamika unataka uwe mtu usiejulikana?
 
Hahaha! Sasa hutaki kujulikana na unatangaza unataka mchumba jf siku ya ndoa utaweka kivuli?
 
Back
Top Bottom