Kufahamu jinsi ya kununua bidhaa apple store online na ikafika huku kwetu TZ

P.J

Senior Member
Joined
Jan 30, 2014
Posts
161
Reaction score
95
habari JF(S) ningependa kjua kwa yeyote mwnye uzoefu na mannuzi ya bdhaa from apple.com anisaidie jinsi ya kuziship tz.
 
habari JF(S) ningependa kjua kwa yeyote mwnye uzoefu na mannuzi ya bdhaa from apple.com anisaidie jinsi ya kuziship tz.
Nenda mlimani city wamefungua apple store ya nguvu,kila kitu kipo,ila bei sake balaa na ziko quoted in US$,lakini utanunua katika Tsh.
 
habari JF(S) ningependa kjua kwa yeyote mwnye uzoefu na mannuzi ya bdhaa from apple.com anisaidie jinsi ya kuziship tz.

Kwanza uwe na account ya apple.
Chagua kitu kwenye site yao.
Tafuta third party courier service kwa mfano myus.com kwa ajili ya kukupokelea bidhaa zako kwasababu wao hawaship bidhaa kwenda kwenye POBox's au AFO's.
Lazima uwe na card ya benki inayoruhusu kufanya online transactions.
Ukishanunua na kuingiza shipping na billing address unaweka details za kadi yako.
Then unamaliza.

Myus watapokea mzigo wako watawasiliana na wewe jinsi ya kukutumia mzigo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…