Well kuna kitu hukielewi kuhusu nguvu ya jina la mtu hata awe na majina mia lipo moja ambalo ni lake na sahihi zaidi hivyo katika kutoa majina yake kuna mizani hupimwa ikiwa ni pamoja na muonekano wake wa sura na viganja vyake huamua ni nyota gani na mengine mengi unayotizama hadi kuhukumu nyota ya mtu ni ipinames ipi ,maana mtu anweza kuwa na majina mengi tu alilopewa na baba,na mama,na shangazi,alilojipa mwenyewe ,alilopewa na watu na kila jina likawa linatumika kwenye mazingira fulani,hii sayansi ya kutumia jina sidhani kama ina effect maana jina ni identity tu mtu anaweza akamuita mwane cristiano ronaldo
Japo sio lengo la thread lakini kwa mtizamo tu inaonyesha hujielewi tafuta mtu wa imani yako akufanyie maombi maana unapoelekea sio sawa. Kwa maana ungekuwa na akili nzuri si ungeandika ulichoandika.yani mpaka leo bado kuna watu wanapigwa hela kijinga namna hii kwa kudanganywa danganywa tu kwa vitu vya kufikirika.waafrika tuache upuuzi wa kupenda shortcut za maisha ,hakuna cha nyota wala jini ,maisha ni juhudi na maarifa ,jiulize huyo jamaa yeye ukoo wake wote wameshafanikiwa mpaka aje huku mitandaoni eti akufungulie milango kupitia sijui nyota,buku mbili unaiona ndogo ila akizikusanya kwa wajinga wengi ni pesa nyingi .fanyeni kazi tafuteni pesa acheni mawazo ya kishirikina mtaibiwa kila siku na watapeli wanaojifanya wanajua kutatua shida zenu
Kwanini ashindwe? Si kila mtu ashinde mechi zake aisee..kwanini umpangie mtu.Shindwa katika jina la Yesu kristo
Na wewe uteteae mambo ya ulozi ushindwe piaKwanini ashindwe? Si kila mtu ashinde mechi zake aisee..kwanini umpangie mtu.
Nimeelezea kila kitu kwenye website yangu unaweza kutembeleaHetu Tufahamishe Kuhusu Jini Huyu, Anayeitwa Karini.... Anakaa Sehemu Katika mwili, na Je nia yake kuwa karibu na binadamu nini?, na Je naweza kumtuma Kazi zangu afanye.??
Well kuna kitu hukielewi kuhusu nguvu ya jina la mtu hata awe na majina mia lipo moja ambalo ni lake na sahihi zaidi hivyo katika kutoa majina yake kuna mizani hupimwa ikiwa ni pamoja na muonekano wake wa sura na viganja vyake huamua ni nyota gani na mengine mengi unayotizama hadi kuhukumu nyota ya mtu ni ipi
ni upuuzi kutafuta mtu akufanyie maombi,Kama unajua mwenyezi Mungu ataniongoa sasa huyo mtu nimtafute wa kazi gani,mbona watu mnapenda kujifanya nyie ndio madalali au mtu kati kwa Mungu yani ndio mpo karibu nae watu wengine waje kwenu ili mwakonect kwa Mungu the muwachukulie vihela vyao.kila mtu ana nguvu yake na Munguyupo kwa wote ,fanyeni kazi tuache haya mambo ya kishirikina .Japo sio lengo la thread lakini kwa mtizamo tu inaonyesha hujielewi tafuta mtu wa imani yako akufanyie maombi maana unapoelekea sio sawa. Kwa maana ungekuwa na akili nzuri si ungeandika ulichoandika.
Pole mwenyezi Mungu atakuongoa.
Rakims
Kila mtu ana akili zake timamu na hupiga hesabu na kujua nini afanye nini aache nyie wenye kuwa na username mbili mbili hamna tofauti na wale wenye jinsia mbili huku mwema huku muovu hivyo huwa sibishani sana na watu waliooza kifikra.ni upuuzi kutafuta mtu akufanyie maombi,Kama unajua mwenyezi Mungu ataniongoa sasa huyo mtu nimtafute wa kazi gani,mbona watu mnapenda kujifanya nyie ndio madalali au mtu kati kwa Mungu yani ndio mpo karibu nae watu wengine waje kwenu ili mwakonect kwa Mungu the muwachukulie vihela vyao.kila mtu ana nguvu yake na Munguyupo kwa wote ,fanyeni kazi tuache haya mambo ya kishirikina .