fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
yani mpaka leo bado kuna watu wanapigwa hela kijinga namna hii kwa kudanganywa danganywa tu kwa vitu vya kufikirika.waafrika tuache upuuzi wa kupenda shortcut za maisha ,hakuna cha nyota wala jini ,maisha ni juhudi na maarifa ,jiulize huyo jamaa yeye ukoo wake wote wameshafanikiwa mpaka aje huku mitandaoni eti akufungulie milango kupitia sijui nyota,buku mbili unaiona ndogo ila akizikusanya kwa wajinga wengi ni pesa nyingi .fanyeni kazi tafuteni pesa acheni mawazo ya kishirikina mtaibiwa kila siku na watapeli wanaojifanya wanajua kutatua shida zenu