usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Kama wewe ni Msafiri sana wa maeneo mbali mbali na una lala katika Guest za kiafrika
Tutakubaliana kuwa karibu maeneo mengi nyumba vyao vina sabuni za aina moja kwa muundo na arufu/manukato.
Kiasi kwa mtu makini ukinukia hiyo sabuni tu anajua Mzee umelala Guest.
Hii ni fursa kwa wazalishaji wa sabuni kubadili hilo soko na kuboresha huduma
Wale wazee wakubeti wengine huwa wanaoga bila kutumia hizo sabuni wakogopa kunukia kale kaarufu...
Tumia fursa
Wazee wa kubet.........umenifurahisha!Kama wewe ni Msafiri sana wa maeneo mbali mbali na una lala katika Guest za kiafrika
Tutakubaliana kuwa karibu maeneo mengi nyumba vyao vina sabuni za aina moja kwa muundo na arufu/manukato.
Kiasi kwa mtu makini ukinukia hiyo sabuni tu anajua Mzee umelala Guest.
Hii ni fursa kwa wazalishaji wa sabuni kubadili hilo soko na kuboresha huduma
Wale wazee wakubeti wengine huwa wanaoga bila kutumia hizo sabuni wakogopa kunukia kale kaarufu...
Tumia fursa
Ha ha haWazee wa kubet.........umenifurahisha!
Una akili ? [emoji22]Vi guest kama vyama vya upinzani Tanzania vinaigana na kuungana hata mambo ya kipuuzi tu
State agent
Tumia Mfumo wetu wa 4-4-2 tunautumia sana tuliooa unakatumia unapoingia kabla ya game ..ukimaliza unaoga bila sabuni Halafu unajimwagia bia..unakuwa unanuka nuka bia