Kufananisha Utaratibu wa Majeshi ya nchi zingine na wa Tanzania ni Upumbavu usiovumilika

Kufananisha Utaratibu wa Majeshi ya nchi zingine na wa Tanzania ni Upumbavu usiovumilika

Waii nchi onauzwa huko wanyama wanatoroshwa Kila siku wao wanahangaika na sare
 
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms ( Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa ( Sisi Sisi ) ambao baadhi yetu ( GENTAMYCINE simo ) kutokana na Upopoma ( Upumbavu ) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu ( Mapopoma ) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
Genta wa genta[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Jeshi la wananchi linaingia mtaani kusaka nguo zinazofanana na sare zao tena kwa raia ambaye hana hata bunduki?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Hiyo inaitwa kukosa kazi na kutaka umaarufu. Waende Sudan wakajipime nguvu.
Hiyo kazi ni ya polisi.
Watu wa nchi zilizoendelea wanatushangaa sana.
Jeshi wametua akili ya kuvunja tofali kwa kichwa halafu unajiona una akili sana
Wafrika wengi hawajui sheria ndiyo ukivaa sare za polisi na siyo polisi unaweza kumfanyia chochote raia na asikuulize chochote. Unaweza kumkuta mtu ukamnyang'anya simu, hela n.k lkn asikuulize chochote
Naandika nafuta,naandika tena nafuta ngoja ninyamaze tu kwani mdomo unisaidie kula tu na si vinginevyo
 
Naandika nafuta,naandika tena nafuta ngoja ninyamaze tu kwani mdomo unisaidie kula tu na si vinginevyo
Baadhi ya wafrika hawajui sheria ndiyo maana wakiona polisi na wanajeshi wanatetemeka.
Mimi naweza kuvaa sare za jeshi (siyo mwanajeshi) au za polisi (siyo polisi) nikaja kwako nikakuambia unahitajika kwenye kituo cha polisi. Bila kuhoji kitu chochote ukanifuata kumbe ni jambazi sugu.
Hata kama una sare za jeshi, bunduki n.k hapo anatakiwa aje kukamata polisi (siyo jeshi), utakamatwa, utapelekwa mahakamani na utashitakiwa kwa mujibu wa sheria. Kama utaenda kufungwa au kutoa faini ni sawa.
Unachukua jeshi unapeleka uraiani kukamata mwananchi mwenye nguo zinazofanana na jeshi ambaye hana hata bunduki. Hayo ni matumizi mabaya ya nguvu
Majeshi yote ya kiafrika hunyanyasa na kutesa raia pasipo sababu.
Ni sawa na yule mkuu wa mkoa fulani aliyenda kuchapa wanafunzi.
 
mnawalisha vyakula vya bure mwisho wanakosa kazi za kufanya.wanaanza kuwaza upuuzi.hyo minguo mnaona ya thamani sana?wakat al shabab wanachungia mbuzi
 
Wanataka kuibua vurugu tu huko mitaani....

Nilipomsikiliza yule msemaji wa JWTZ...nilijichekea tu....

Maongezi yake yalikuwa kana kwamba tuko katika "hali tete kiusalama"....[emoji1787]

Aache kuingilia KAZI ya PT...

Kama PT wanawaogopa...sisi humu tutawasemea PT wetu....

#SiempreJMT[emoji120]
Hiyo imekuja kimkakati kuzima ishu ya bandari
 
Sasa kama mnalisifia na mnalipenda Jeshi la Marekani kwa Utaratibu wake wa hasa Uniforms (Sare ) zao na Uvaaji wa Raia wa hizo Sare zao na Uzuri wa nchi yoo kwanini hasa hamhamii huko mkaishi na badala yake Sote tu tuko hapa hapa Dar es Salaam Tanzania tunasaka zetu Nyoka tu ili Kupambana na Maisha yetu yenye Mchanganyiko wa Ugunu mwingi na Raha Kiduchu?

Wewe ni nani hasa wa kulipangia Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuishi kwa Utaratibu wa Majeshi ya Marekani, Ulaya na Asia ambako hata hujawahi kwenda na pengine hutokwenda mpaka Ufe na utaishia tu kuziona hizo nchi kupitia Al Jazeera, BBC, CNN na CGTN?

CDF Gen. Mkunda na Jeshi lako la JWTZ Mimi Raia Mzalendo na wa Kutukuka kabisa wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE naunga mkono tena kwa 100% hatua zote mnazozichukua na mtakazozichukua juu ya uwepo wa Sare za Jeshi ZINAZOFANANA na zenu Mitaani / Uraiani Kwetu na kwa mengineyo yote ili Kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarika ndani na nje ya Tanzania.

Ni Watanzania hawa hawa (Sisi Sisi) ambao baadhi yetu (GENTAMYCINE simo) kutokana na Upopoma (Upumbavu) wao Wanawalaumu JWTZ kwa Matamko yenu juu ya Sare zinazofanana na za Jeshi letu la JWTZ ila likija kutokea la kutokea ni hawa hawa Wapumbavu (Mapopoma) wachache watajifokeza na kuanza Kuwalaumu na kusema Jeshi letu ni Dhaifu na halifai.

JWTZ fanyeni Kazi yenu nawaunga mkono na ikiwezekana pale tukikaidi msituonee Huruma katika kutupa ADHABU zenu KALI Ili tunyooke, tuwe na Adabu na tufuate Utaratibu na Maadili yote ya Kijeshi na Usalama.

Mtakaouchukia huu Uzi Kufeni tu Ok?
HAPOHAPO ILI DAWA IWANINGIE KENGE HAWA MAMBO YA SIRI ZA USALAMA WANATAKA KUJADILI WATULETEE WAKE ZAO KWANZA TUWAJADILI
 
Akili za kitumwa! Siku mwafrika akijitambua atapiga hatua ila kwa sasa tuendelee na huu upuuzi tuliozoea!
HATUA YA KWANZA NA MHIMU KULIKO ZOTE NI KUKATAA UPUMBAVU WA KUAMINI MUNGU WA WAZUNGU NA WAARABU TUKIFANIKIWA HAPO TUMEPONA nje ya hapo ni maigizo tu
 
Kuna chupi, taiti, vitambaa, boksa, kalamu, midoli ya watoto ina mabaka mithili ya kombati, na hayo watasaka? Mabaka mengine hayafanani kabisa na mabaka yao. Kuna mpaka mabaka ya kidijitali kwenye nguo hayafanani kabisa na yao. Mabaka mengine ni ya majeshi ya marekani, uchina, urusi, vietnam, korea, na kwingine mitumba inakotoka. Kombati za JWTZ zinafahamika mabaka na rangi zake hizo raia wanaziogopa, wanakimbilia za majeshi ya nje. Nguo zingine si za kijeshi ila zimerembwa tu hayo mabaka
UKIPIGWA HUTANUNUA TENA NA ANAYEVIAGIZA HATALETA TENA KWAKUWA HAVITANUNULIWA NA HESHIMA ITAKUWEPO
 
UKIPIGWA HUTANUNUA TENA NA ANAYEVIAGIZA HATALETA TENA KWAKUWA HAVITANUNULIWA NA HESHIMA ITAKUWEPO
nipigwe kwa kwa kuwa na kalamu ya mabaka yanayofanana na kombati ya jeshi huyo mwanajeshi anayenipiga atakuwa ni mwendawazimu. Kwanza elewa kuwa hizo bidhaa bado zipo mitaani zinauzwa, si bidhaa za kijeshi, hizo rangirangi ni marembo tu
 
Mmekalia ujinga ujinga,mnajeshi Gani hatari kwamfano.
Kazi tu kuonea watu.
Wanatoa mifano,Kwa majeshi yenye hadhi ya juu.mnataka muwe kama kina Ndugai na Bunge.
Oh umelitukana Bunge ni dhaifu,kwani matendo yako si ndio kipimo.
Mambo ya maana hamyawezi,ila mnadili na mambo madohomadogo yasiyokuwa na tija.
Taasisi mfirisi ni nyingi.

Majeshi mengine yanadili na kujiingizia kipato Kwa taifa.
Mfano,waigizaji wanaweza kuigiza hata ndani ya kambi na kutumia vifaa vya kijeshi katika maihizo na jeshi linaingiza mkwanja mlefu tu.
Kwenu mnaliona Hilo?.
Hamnaga ubunifu wowote,sanasana mnakuwa wangoja mishahara tu🤔.
Msipoiga mtafanya nn nyinyi na hamnaga ubunifu.

Mtutolee ujinga wenu huko.
Mnataka kuogopwa kwenye hamna.
 
Back
Top Bottom