Kufanikiwa na kutokufanikiwa kimaisha inategemea na marafiki ulonao

Kufanikiwa na kutokufanikiwa kimaisha inategemea na marafiki ulonao

Monty de Hunterz

New Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
1
Reaction score
0
Habari yako mwana JF

Leo nimekuja na uzi wa kujadili "hasara na faida za marafiki katika mafanikio yetu". Kama tunavyoelewa watu ambao tunakaa nao kwa muda mrefu ni marafiki zetu, je Wana chachu gani katika maisha yako? Kuwa na marafiki wengi kuna faida gani au hasara gani?

Karibuni mchangie
 
Ukishamuweka Mungu rafiki yako,wengine fanya assumption tuu kuwa ni washkaji..cha muhimu kuheshimiana ila siyo kuwa attachad with someone.
 
Back
Top Bottom