Kufanya biashara Kariakoo

Kufanya biashara Kariakoo

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
32
Reaction score
125
Wakuu kwema?

Poleni na majukumu leo Mimi nilienda Kariakoo japo mimi ni mgeni hapa dar nazunguka hivyo hivyo kwa kuulizia.

Nilikuwa naomba ushauri nilikuwa Nina wazo la kuuza mayai ya chemsha kariakoo kwa kuzungusha je Kuna kibali cha kuniruhusu au naweza fanya bila shida Kama hao wanaouza machungwa hapo?
 
Wakuu kwema?

Poleni na majukumu leo Mimi nilienda Kariakoo japo mimi ni mgeni hapa dar nazunguka hivyo hivyo kwa kuulizia.

Nilikuwa naomba ushauri nilikuwa Nina wazo la kuuza mayai ya chemsha kariakoo kwa kuzungusha je Kuna kibali cha kuniruhusu au naweza fanya bila shida Kama hao wanaouza machungwa hapo?
Ndugu yangu usingoje kibali, weka mayai njoo ..mangapi wanakwiba wao sembuse mayai ya jero jero. Njoo
 
No ww tu akuna kibali wala nn.piga kazi kanyaga twende
 
Back
Top Bottom