Kufanya biashara na mkeo inachekesha na inapendeza

Kufanya biashara na mkeo inachekesha na inapendeza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Nimefanya biashara kwa miaka kadhaa. Nimefanya na watu mbali mbali wake kwa waume, ninaowajua kwa sura na wengine kwa mawasiliano pekee. Nimefanya na wa masafa ya mbali na majirani pia.

Kati ya biashara zote hizo biashara niliyoona ni ya kipekee sana na zile nilizofanya na wake zangu. Kumbuka mimi nina wake watatu kwa sasa. Mmoja kati yao anajishughulisha na mambo ya kupika na kulea watoto tu. Wawili ndio nafanya biashara nao.

Mimi ndiye niliyewafungulia biashara na kuwaingizia bidhaa. Siku wakitaka kutumia kitu kwenye biashara zao lazima waniombe pesa ili wajinunulie wanachokitaka au kuwanunulia ndugu zao. Nikisema siku hiyo sina pesa basi huwa wanachukua na wananiandikia hesabu. Deni hilo huwa nakumbushwa mpaka nitalilipa japo kwa kuchelewa. Hata mara nyengine wakisahau kuwa nimeshawalipa mimi huwa nalipa tena.

Kitu ambacho nimegundua ni cha ajabu sana. Kwani wake zangu wote hao wawili ni wakarimu zaidi kwangu. Binafsi mimi mtu akinidai dai huko mitaani kwa namna kama hizi mara narushiana naye mangumi. Kwa hawa wake zangu huwa sina maneno kabisa. Kwa upande wao nimegundua ni wakali na hawachukui pesa kwa mtu mwengine.

Wenye wake na ambao hawajaoa chukueni mafunzo hapo. Na wanawake ambao hawajaolewa tafuteni wanaume wa kuwaoa ili mpata raha za ndoa kama za wanawake wenzenu hao.
 
Uliwaajast kwa Stail gani Mkuu? Kina Hawa lazima kuwaajast kidogo!
Hakuna cha kuwa adjust wala nini.Nimegundua kuna kufanana sana kwa tabia za wanawake.Wewe ukikosea ndio una wakorofisha.
 
Nimefanya biashara kwa miaka kadhaa. Nimefanya na watu mbali mbali wake kwa waume, ninaowajua kwa sura na wengine kwa mawasiliano pekee. Nimefanya na wa masafa ya mbali na majirani pia.

Kati ya biashara zote hizo biashara niliyoona ni ya kipekee sana na zile nilizofanya na wake zangu. Kumbuka mimi nina wake watatu kwa sasa. Mmoja kati yao anajishughulisha na mambo ya kupika na kulea watoto tu. Wawili ndio nafanya biashara nao.

Mimi ndiye niliyewafungulia biashara na kuwaingizia bidhaa. Siku wakitaka kutumia kitu kwenye biashara zao lazima waniombe pesa ili wajinunulie wanachokitaka au kuwanunulia ndugu zao. Nikisema siku hiyo sina pesa basi huwa wanachukua na wananiandikia hesabu. Deni hilo huwa nakumbushwa mpaka nitalilipa japo kwa kuchelewa. Hata mara nyengine wakisahau kuwa nimeshawalipa mimi huwa nalipa tena.

Kitu ambacho nimegundua ni cha ajabu sana. Kwani wake zangu wote hao wawili ni wakarimu zaidi kwangu. Binafsi mimi mtu akinidai dai huko mitaani kwa namna kama hizi mara narushiana naye mangumi. Kwa hawa wake zangu huwa sina maneno kabisa. Kwa upande wao nimegundua ni wakali na hawachukui pesa kwa mtu mwengine.

Wenye wake na ambao hawajaoa chukueni mafunzo hapo. Na wanawake ambao hawajaolewa tafuteni wanaume wa kuwaoa ili mpata raha za ndoa kama za wanawake wenzenu hao.
Mkuu ule Uzi wako kuwa mashabiki wa Mpira watakufa Masikini na motoni wataenda naukumbuka. Sana
 
Nimefanya biashara kwa miaka kadhaa. Nimefanya na watu mbali mbali wake kwa waume, ninaowajua kwa sura na wengine kwa mawasiliano pekee. Nimefanya na wa masafa ya mbali na majirani pia.

Kati ya biashara zote hizo biashara niliyoona ni ya kipekee sana na zile nilizofanya na wake zangu. Kumbuka mimi nina wake watatu kwa sasa. Mmoja kati yao anajishughulisha na mambo ya kupika na kulea watoto tu. Wawili ndio nafanya biashara nao.

Mimi ndiye niliyewafungulia biashara na kuwaingizia bidhaa. Siku wakitaka kutumia kitu kwenye biashara zao lazima waniombe pesa ili wajinunulie wanachokitaka au kuwanunulia ndugu zao. Nikisema siku hiyo sina pesa basi huwa wanachukua na wananiandikia hesabu. Deni hilo huwa nakumbushwa mpaka nitalilipa japo kwa kuchelewa. Hata mara nyengine wakisahau kuwa nimeshawalipa mimi huwa nalipa tena.

Kitu ambacho nimegundua ni cha ajabu sana. Kwani wake zangu wote hao wawili ni wakarimu zaidi kwangu. Binafsi mimi mtu akinidai dai huko mitaani kwa namna kama hizi mara narushiana naye mangumi. Kwa hawa wake zangu huwa sina maneno kabisa. Kwa upande wao nimegundua ni wakali na hawachukui pesa kwa mtu mwengine.

Wenye wake na ambao hawajaoa chukueni mafunzo hapo. Na wanawake ambao hawajaolewa tafuteni wanaume wa kuwaoa ili mpata raha za ndoa kama za wanawake wenzenu hao.

Hongera mkuu
 
Nimefanya biashara kwa miaka kadhaa. Nimefanya na watu mbali mbali wake kwa waume, ninaowajua kwa sura na wengine kwa mawasiliano pekee. Nimefanya na wa masafa ya mbali na majirani pia.

Kati ya biashara zote hizo biashara niliyoona ni ya kipekee sana na zile nilizofanya na wake zangu. Kumbuka mimi nina wake watatu kwa sasa. Mmoja kati yao anajishughulisha na mambo ya kupika na kulea watoto tu. Wawili ndio nafanya biashara nao.

Mimi ndiye niliyewafungulia biashara na kuwaingizia bidhaa. Siku wakitaka kutumia kitu kwenye biashara zao lazima waniombe pesa ili wajinunulie wanachokitaka au kuwanunulia ndugu zao. Nikisema siku hiyo sina pesa basi huwa wanachukua na wananiandikia hesabu. Deni hilo huwa nakumbushwa mpaka nitalilipa japo kwa kuchelewa. Hata mara nyengine wakisahau kuwa nimeshawalipa mimi huwa nalipa tena.

Kitu ambacho nimegundua ni cha ajabu sana. Kwani wake zangu wote hao wawili ni wakarimu zaidi kwangu. Binafsi mimi mtu akinidai dai huko mitaani kwa namna kama hizi mara narushiana naye mangumi. Kwa hawa wake zangu huwa sina maneno kabisa. Kwa upande wao nimegundua ni wakali na hawachukui pesa kwa mtu mwengine.

Wenye wake na ambao hawajaoa chukueni mafunzo hapo. Na wanawake ambao hawajaolewa tafuteni wanaume wa kuwaoa ili mpata raha za ndoa kama za wanawake wenzenu hao.

Una wake wazuri, ila kuna mashetani, usiwashauri wenzako vibaya, we ishia tu kusifia wake zako mpaka utakapogundua wanagongwa.
 
Una wake wazuri, ila kuna mashetani, usiwashauri wenzako vibaya, we ishia tu kusifia wake zako mpaka utakapogundua wanagongwa.
Wanawake ni wanawake isipokuwa hii kugongwa kwa mila zetu haiji kirahisi.Kati ya yote hayo ni mimi na wao na watu wao wa karibu.Hakuna kwenda baa wala kuchanganyika na wanaume kwenye disko.Katika hali kama hiyo shetani huwa hapati nafasi.
 
wanawake ni wanawake isipokuwa hii kugongwa kwa mila zetu haiji kirahisi.Kati ya yote hayo ni mimi na wao na watu wao wa karibu.Hakuna kwenda baa wala kuchanganyika na wanaume kwenye disko.Katika hali kama hiyo shetani huwa hapati nafasi.
Eti shetani hawezi pata nafasi!!!?
Labda shetani wa mchongo sio huyu alieshindikana hata kwa mungu'
 
Nimefanya biashara kwa miaka kadhaa. Nimefanya na watu mbali mbali wake kwa waume, ninaowajua kwa sura na wengine kwa mawasiliano pekee. Nimefanya na wa masafa ya mbali na majirani pia.

Kati ya biashara zote hizo biashara niliyoona ni ya kipekee sana na zile nilizofanya na wake zangu. Kumbuka mimi nina wake watatu kwa sasa. Mmoja kati yao anajishughulisha na mambo ya kupika na kulea watoto tu. Wawili ndio nafanya biashara nao.

Mimi ndiye niliyewafungulia biashara na kuwaingizia bidhaa. Siku wakitaka kutumia kitu kwenye biashara zao lazima waniombe pesa ili wajinunulie wanachokitaka au kuwanunulia ndugu zao. Nikisema siku hiyo sina pesa basi huwa wanachukua na wananiandikia hesabu. Deni hilo huwa nakumbushwa mpaka nitalilipa japo kwa kuchelewa. Hata mara nyengine wakisahau kuwa nimeshawalipa mimi huwa nalipa tena.

Kitu ambacho nimegundua ni cha ajabu sana. Kwani wake zangu wote hao wawili ni wakarimu zaidi kwangu. Binafsi mimi mtu akinidai dai huko mitaani kwa namna kama hizi mara narushiana naye mangumi. Kwa hawa wake zangu huwa sina maneno kabisa. Kwa upande wao nimegundua ni wakali na hawachukui pesa kwa mtu mwengine.

Wenye wake na ambao hawajaoa chukueni mafunzo hapo. Na wanawake ambao hawajaolewa tafuteni wanaume wa kuwaoa ili mpata raha za ndoa kama za wanawake wenzenu hao.
Wee kwa kuwa una wake watatu ushauri wako nitachukua.
Hawa wanaume wenye mke mmoja ushauri wao mara nyingi unakuwa wakinafiki sana.
Safi mzee naona unatumia hela vizuri. Jaza wake sio toyota mav8
 
Eti shetani hawezi pata nafasi!!!?
Labda shetani wa mchongo sio huyu alieshindikana hata kwa mungu'
Tumepewa mbinu nyingi za kujikinga na shetani huyo.Nakuhakikishia ukizitumia hapenyi.
 
Yan kwa kweli kila mtu afanye mambo yake jion tulete pesa hizo
 
Back
Top Bottom