Kufanya biashara na ndugu ni hatari kubwa

Labda kwa wamatumbi ndo sipo poa ila waarabu, wasomali, wachinà na wazuńgu poa tu
 
Ndugu wa kitanzania (weusi) usithubutu narudia usithubutu kushare nao biashara! Watakuua kwa msongo wa mawazo!
 
Hizi biashaara za ndugu ndugu wanaziwezea wahindi na waarabu.
 
For Poor or Uneducated families lazima ujute.
 
Pole kwa yaliyokukuta
Uchungu ukiisha ukuje na full story
 
Watu wa jf munatuchanganya sasa, mala tusifanye biashara na usiyemjua mala usifanye na ndugu.
 
Pole sana...

Ukipata ndugu mwenye akili mambo yanaenda sawa na safi...


Cc: mahondaw
 
Wakuu kwayaliyo nikuta najuta kufanya biashara na ndugu yangu wakuzariwa kwa mama mmoja.
usinikumbushe ndugu yangu1.6M haijulikani ilipo ndugu hawa hovyo sana. Bora mtu baki utampeleka hata kwa pilato.
 
Kwani ulichagua au ulikua na vigezo gani hadi kumchagua nduguyo kua business partner wako sabab kama hakuna ulilojifunza kutoka Kwa hii scenario probably utarudia the same mistakes another time japo inaweza isiwe hata kwa ndugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…